Fifa21 & Pes21 huwezi cheza kwenye PC za kawaidaWazoefu wa game za football kati ya FIFA 2021 Na PES 2021 ipi game nzuri kucheza kwenye PC ya kawaida, Na vipi utofaut wa game izo uzuri Na ubaya, wa izo games?
Nawasilisha
Hiyo ps 4 ulinunua sh ngapi mkuu ma ipo chipped?Binafsi kwa sasa nacheza FIFA na PES kwenye PS 4, sio PC. Ila nnachojua kila moja lina taste yake ya tofauti kabisa. PES wengi wanaona kuna uongo mwingi, na halihitaji 'skills' sana. Ukijua kupiga pasi ndefu, pasi mpenyezo, mitungi + headers, mashuti ya kawaida na mashuti mzunguusho you are good to go kwenye PES. Ila kwenye FIFA skills nyingi zinahitajika, na akili nyingi. Ndio maana unakuta wapo wanaojua PES ila kwenye FIFA hawana shughuli. Na ndio sababu ma pro wengi wa games utakuta wanacheza FIFA sio PES
Ipo chipped mkuu, kwa sasa ina games 18 (huwa nazibadilisha). Niliipata kwa 830k mwaka jana, ikiwa na latest games 15 + pad 1Hiyo ps 4 ulinunua sh ngapi mkuu ma ipo chipped?
vipi PES 2014 naweza pata lenye wachezaji wa 2021?PC ya kawaida haiwezi kucheza hizo game,labda kwenye playstation na huko fifa ni la mapro....pes ni la kila mtu huwezi kukuta watu wengi wanacheza fifa ,mimi mwenyewe naonanaga liko slow sana!!!!,,,tafuta pes 2013 au 14 ucheze kwenye pc ya kawaida.