Tunapoteza mipira sana mbele.hii inachosha kiungo kwa kazi ya kupanda na kushuka haraka na kuleta constant presha kwenye defence.sijui tutaweza kuabsorb hii presha hadi saa ngapi bila kufanya kosa la kijinga na kupoteza concentration!tuache hii kitu.tucheze kama mwanzo.
Tunapoteza mipira sana mbele.hii inachosha kiungo kwa kazi ya kupanda na kushuka haraka na kuleta constant presha kwenye defence.sijui tutaweza kuabsorb hii presha hadi saa ngapi bila kufanya kosa la kijinga na kupoteza concentration!tuache hii kitu.tucheze kama mwanzo.
Spain wamepoteza nafasi nyingi mwishoni hii ni dalili mbaya sana, Italy wanasubiri mchezo wa kubahatisha ambao Spain hawakumbuki mara ya mwisho ilikuwa lini kutumia.