Fifa 17 PC

Fifa 17 PC

Mwenye kuhitaji bei leo imeshuka kidogo, wahi zipo chache.

3232.jpg

Link
 
Mbona lipo kickasscd tena cracked
Uwe unasoma hata commments za hizo torrent kiongozi. Kalipakue ukiweza kulicheza nitakulipa gharama ulizotumia kwenye bando.
 
Link nyingine hii, hiyo listing ya hapo juu ishauzwa.
Link
 
Nina Hp Core i5 ram 4gb Vp nikipata Fifa 17 inaeza kucheza???
post hizi snaps ndio rahisi kujua specs
Ya kwanza nenda kwenye start menu kisha andika dxdiag kisha piga enter
ya pili nenda computer properties

2.PNG


1.PNG
 
Wakuu nina hizo pc games
1 :Microsoft flight simulator 2004 and 2002&
2:race 07

Mwenye kuitaji aje pm, zote hazijatumika
4cf99bd923942183f8a94a430701b60b.jpg
 
Na apo hakuna jins ya kuifanya. ichezee?Je Naeza Update Fifa 14 niliyonayo ije 17 kama vp?
Mods zipo angalia hiyo video chini, na links za ku download zipo huko.
 
Na apo hakuna jins ya kuifanya. ichezee?Je Naeza Update Fifa 14 niliyonayo ije 17 kama vp?
Ukitaka better gaming experience, tafuta mashine yenye specs nzuri.
 
sawaa brazaa eb niambie mashine gan inafaa enye specs nzur ili nisisumbuke kweny Games coz Napenda sana Fifa
Zipo thread nyingi humu zinazungumzia hayo, jaribu ku search utapata muongozo mkuu.
 
Back
Top Bottom