Fiesta vs Panya Road

Fiesta vs Panya Road

aisee wakati wa mavuno huu na ukizingatia ni mwanzo wa mwezi watu bado wanazo
 
hapo four ways wanaingia wengi sana yaani mwenzio anakula mzigo unamtizama. Yule mlinzi w pale mpaka asubuhi anakusanya zaidi ya 100,000/=
 
Dar imezizima/imesimama kwa tukio la fiesta IMOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
 
dar imeshtuka kwa fiesta ya mwaka huu watu milioni 38 wamehudhuria na kufuatilia kwenye, APP & TV live (MUBASHARA) imooooooooo
 
panya road tuoneeni huruma sisi watu wa hali ya chini, msitukabe saa ya kurudi hom.
 
aisee hivi haiwezekani kufanya tamasha kwenye ukumbi wa maana zaidi kulishana vumbi pale uwanjani?
 
hivi wanaohusika na USALAMA/SAFETY pale ni OSHA/FIRE ama NEMC?
 
Fiesta inapogeuka Gym badala ya Burudani.....mikono juu
 
Panya Road naona wameanza na vifaa vya magari. Daah
 
Back
Top Bottom