Rockcity native JF-Expert Member Joined Dec 31, 2012 Posts 2,174 Reaction score 1,462 Feb 12, 2013 #1 Wana jf lipi kati ya haya matamasha linastahili kupata msukumo wa basata kuwa tamasha la burudan la taifa?
Wana jf lipi kati ya haya matamasha linastahili kupata msukumo wa basata kuwa tamasha la burudan la taifa?
Rubi JF-Expert Member Joined Oct 5, 2009 Posts 1,615 Reaction score 332 Feb 14, 2013 #2 Sauti za busara na Jamafest (East Africa utamaduni festival) ambalo kwa mara ya kwanza limefanyika nchini Rwanda.
Sauti za busara na Jamafest (East Africa utamaduni festival) ambalo kwa mara ya kwanza limefanyika nchini Rwanda.