Fiesta marufuku Mbeya- Sugu

Fiesta marufuku Mbeya- Sugu

Sharp lady

Senior Member
Joined
Feb 23, 2011
Posts
129
Reaction score
13
Mbunge wa Mbeya Mr. II amepiga marufuku matamasha yote ya FIESTA mkoani mbeya kwa madai kuwa yanaua vipaji vya wasanii. Source status yake ya FB.
 
mhh chuki binafsi hana lolote
Chuki za wapi binafsi? mwenzako ni mbunge,bado pesa anayo tangia anatoka marekani kuja kugombea ubunge,nadhani hujui hawa watu wa FIESTA wanavyowanyonya wasanii wakati wao wanaingiza mamilioni,kama wanawapenda wawafungulie mikoa yote studio kama alivyofungua studio SUGU hapa mbeya kwa ajiri ya wasanii
 
Sugu ni kiazi....,mpaka leo bado hajatambua kuwa amepelekwa bungeni na wananchi wa Mbeya na sio wasanii wenzake..., hili ni jimbo ambalo CDM italipoteza 2015 kwa upumbavu tu wa Sugu...

Kabla hajatekelea ahadi yake ya kulipiga mnada wa hadhara gari la Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, kabla hajatimiza wazo lake la kuuuza Mgodi wa Kiwira na fedha zitakazopatikana kuwagawia masela wanywee pombe, kesho na keshokutwa sintashangaa atakapotangaza kuudondosha mnara wa kurushia matangazo ya Clouds FM mjini Mbeya, huyu mtu ni janga...!!
 
Kwani yeye ndo nani, au kaanza kuchanganyikiwa mapema.
 
Asipokuwa makini atapoteza hicho kiti 2015. Chadema watafute mtu mwingine 2015.
 
msanii kapewa ubunge matokeo ni usanii 100%
 
he is dead wrong kwa ku-deny community freedom to happiness, i hope the event go on..
 
Back
Top Bottom