Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
imoooooo
Mbona zanzibar ni Zantel lakini anaenda?Inaitwa Tigo fiesta,Diamond yupo na Vodacom kimkataba hawewzi kuharibu mkataba wake kwa issue ya siku moja.
Ingekua bado ni Serengeti Fiesta angeweza kutumbuiza maana beer na simu ni bidhaa mbili tofauti
Zanzibar ni zantel kivipi ?Mbona zanzibar ni Zantel lakini anaenda?
kuna show nilisikia atafanya zanzibar na wadhamini wake ni zantelZanzibar ni zantel kivipi ?
surer mkuu anko maguu kabana kila konaaaa et nitoee 20 kumcheki manfongo na kiroboto na yule teja machoKwa usawa huu nani wa kutoa elf 25 kuangalia uji.nga wa Fiesta.... 25 ni cement mifuko 2
Zanzibar nchi kiongozMbona zanzibar ni Zantel lakini anaenda?