hamna kitu kaka.
mwaka huu watu wengi wenye pesa walikosa tiketi nikuanzia kwenye vituo vya kuuzia tiketi mpaka viwanja vya fiesta kwenyewe.
wasanii waliokuwepo wengi wao walipiga show vimeo.
nazani kuwaacha baadhi ya wakongwe nalo ni tatizo.
sijajua kasoro ipo ambayo umewasifu ww au ya umeme kuto kukata??