Dah!!wakubwa tangu nije kupga fild huku kwenye maofisi ya wa2 nimegundua kwamba chuo unachosoma hakina ishu ktk kutafuta job..juzi kati c kukawa na job interview ya position mbalimbali hapa ofisin,bac washkaj kibao frm udsm,sua,mzumbe,iaa,muccobs,saut,ifm,tumaini nk wakawa wamekua short listed.hamuwezi amin wajamen,pamoja na hii taasisi ninayopgia fild kuwa kubwa na nyeti ktk uchumi wa tanzania bt imechukua graduates kutoka vyuo ambavyo havina hata majina...nimeanza kuamini sasa kwamba,kitakacho kubeba ktk job ni uelewa wako wa mambo na co jina la chuo,u cnt beleive,hakuna graduate wa udsm,mzumbe wala ifm aliyepita kwenye ile interview...
Unajua leo.. Ila bado kuna washamba wa elimu wanapoteza muda mwingi kusifia vyuo vyao lakini wao hawana lolote wakidhani kusoma chuo flan ndo mwisho, fungukeni jiandae personally.
Kaka kinachofanyika ni kwamba hao magraduate wa vyuo vingine wanatumika kama cheap labour it doesn't matter na job position once ukiqualify basi watakubana kwenye salary cuz hivi vyuo visivyo na majina wao chochote utakacho wapa ni poa tu cuz degree zao wamezipatapata hazina viwango vinavyokubalika kitaifa na hata kimataifa....na unaweza kunipa sababu ya vyuo vyao kutokuwa na majina???
mwanangu mwenyewe nlikua na mentality ka hyo,nlikuaga najiona mim ndo mim kisa nko udsm,kumbe soko la ajira ni k2 kingne kabsa.
Kaka kinachofanyika ni kwamba hao magraduate wa vyuo vingine wanatumika kama cheap labour it doesn't matter na job position once ukiqualify basi watakubana kwenye salary cuz hivi vyuo visivyo na majina wao chochote utakacho wapa ni poa tu cuz degree zao wamezipatapata hazina viwango vinavyokubalika kitaifa na hata kimataifa....na unaweza kunipa sababu ya vyuo vyao kutokuwa na majina???
mkuu ifke wakati wana udsm 2kubali kwamba elimu ya tz iko sawa 2,hata kama tofaut ipo ni ndogo sana,hapa kwa ofc niko na jamaa wa HR nae ni frm udsm,alikua ananiambia mchzi we2 m1 aliambiwa aelezee wat caused global economic crisis in 2008,akachemka na ni mtu from pale udbs..
umeona eeh mi nilikuwa na qualification nzuri hata kuliko jamaa zangu walienda udsm na huko nako nikapata lakin npo udom sasa i hate wajinga wanavochukulia kile chuo..bt im hapy umeelewa
Dah!!wakubwa tangu nije kupga fild huku kwenye maofisi ya wa2 nimegundua kwamba chuo unachosoma hakina ishu ktk kutafuta job..juzi kati c kukawa na job interview ya position mbalimbali hapa ofisin,bac washkaj kibao frm udsm,sua,mzumbe,iaa,muccobs,saut,ifm,tumaini nk wakawa wamekua short listed.hamuwezi amin wajamen,pamoja na hii taasisi ninayopgia fild kuwa kubwa na nyeti ktk uchumi wa tanzania bt imechukua graduates kutoka vyuo ambavyo havina hata majina...nimeanza kuamini sasa kwamba,kitakacho kubeba ktk job ni uelewa wako wa mambo na co jina la chuo,u cnt beleive,hakuna graduate wa udsm,mzumbe wala ifm aliyepita kwenye ile interview...
we utakua 1st yr nadhan.
hey nyie mmeenda coz gani maana nahofu isije ikawa zile za cut-off point 3 halafu na wewe unajitutumua kuwa hupo udom wakati wanao wameenda ud sema point zako hapa kwanza tuthibitishe kuwa umeamua tu......
wewe kumbe ulikuwa unajivunia jina bila kitu kichwani!!?? kama wewe unafikiri udsm ni jina tu pole sana, ila UDSM MAANAKE CONTENT kichwani ni jambo la maana zaidi!!!mwanangu mwenyewe nlikua na mentality ka hyo,nlikuaga najiona mim ndo mim kisa nko udsm,kumbe soko la ajira ni k2 kingne kabsa.