Kijiji cha Nyatwali wilayani Bunda kimetwaliwa kwa Mujibu ya Katiba wananchi hao waligoma kuhama lkn Serekali ikasema ni lazima wahame kwa manufaa ya Umma na kupita kila Nyumba na kuweka number za kuwahamisha,na kuwafanyia tathimi kwa nguvu,sasa imepita Mwaka mzima hakuna cha fidia wala nini,na zaidi shughuli zote za maendeleo zimezuiliwa.
Twende sasa kwenye sheria ya Uthamini inasemaje?Ajabu ni kwamba Mkurugenzi wa Bunda ametoa barua ya ajabu kuhamasisha watu kuhama wakati fidia hawalipwa na haijulikani lini watalipwa na huyohuyo Mkurugenzi amemueleleza mtendaji wa kijiji azuie maendeleo na shughuli zote hapo Nyatwali.
Lakini sasa ni Mwaka mzima watu hawalipwa na mkuu wa mkoa anadai hela za kuwalipa watu hao ni nyingi sana na Serekali haina pesa,lkn mkurugenzi anadai watu hao wasifanye maendeleo yoyote sasa Wananchi hawa ni kama wapo jela vitisho ni vingi kulipwa hawalipwi na wapo hapo kwa mjibu wa sheia na katiba,lkn kuwahamisha katiba na sheria zinawekwa pembeni eti mpk waende kumuomba Rais awalipe.
Sasa ajabu Rais wakati anafuta hicho kijiji alikua ajui kuwa kuna kulipa watu.Tanzania nchi yangu tunaletewa umasikini na WATAWALA wetu tukatae.
Twende sasa kwenye sheria ya Uthamini inasemaje?Ajabu ni kwamba Mkurugenzi wa Bunda ametoa barua ya ajabu kuhamasisha watu kuhama wakati fidia hawalipwa na haijulikani lini watalipwa na huyohuyo Mkurugenzi amemueleleza mtendaji wa kijiji azuie maendeleo na shughuli zote hapo Nyatwali.
Lakini sasa ni Mwaka mzima watu hawalipwa na mkuu wa mkoa anadai hela za kuwalipa watu hao ni nyingi sana na Serekali haina pesa,lkn mkurugenzi anadai watu hao wasifanye maendeleo yoyote sasa Wananchi hawa ni kama wapo jela vitisho ni vingi kulipwa hawalipwi na wapo hapo kwa mjibu wa sheia na katiba,lkn kuwahamisha katiba na sheria zinawekwa pembeni eti mpk waende kumuomba Rais awalipe.
Sasa ajabu Rais wakati anafuta hicho kijiji alikua ajui kuwa kuna kulipa watu.Tanzania nchi yangu tunaletewa umasikini na WATAWALA wetu tukatae.