Fidia ya ardhi Nyatwali Bunda

Fidia ya ardhi Nyatwali Bunda

Hivi pale Mikumi kwa nini wazo hilo lisiende kujenga hilo daraja
Mikumi kuna wazo linachakatwa kuichepusha ile barabara, endelea kuwa na imani na serikali yako, haya mambo yanafanyika nchi nzima
 
Njoo Nyatwali beach resort ujione uwekezaji wa mamiilon ya pesa.
 
Ujui wewe unachoongea brother Anyway acha nikuache hivyo kila la kheri.
 
Lipeni watu fidia Mambo ya Wizi wizi mmeyafanya Jadi

NYATWALI jivueni Usisiemu andamaneni mpaka Bunda ofisini kwake....dakika 5 mtapata NAJIBU.....

Ndoho tabhu ITAWAKOSTI
 
Jangwani watu wameanza kufidiwa, watu wa Nyatwali wakae mkao wa kula, mambo mazuri, mazezele mazezele, yanakuja.

Waanze kutafuta viwanja Lamadi, Bariadi, au Makao Makuu ya Wilaya kule Nyashimo wakarogane vizuri na wenzao
Aliyefidiwa nani jangwani?oyaa acha saund ujue.tuliambiwa mradi unaanza mwezi wa nne mwaka jana leo lini?
 
Back
Top Bottom