The_future
JF-Expert Member
- Jan 30, 2015
- 215
- 162
Ndio maana ana watu wachache, anaimba ngumu ili iweje? Keep it simple!hahahaha joh makini hawezi mfikia.fid q bana.sema wengi mnachanganya hawa watu wanafanya hip hop tofauti kabisaa na ndio maana mtazidi kuchanganya na kuona joh ni bora kuliko fid q.
fid Q anafanya hip hop ngum sanaaa. na kumwelewa na ngum sana vile vile.fid Q ni kama mpoto
Natambua kua wako tofauti, na ndio maana nimesema ile hip hop ya wagumu is dead and buried, Nas na Jay Z walishaizika kama 8 years ago.