FID Q: Keeping It Real Vs. Keeping It Right

FID Q: Keeping It Real Vs. Keeping It Right

Kaveli

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
5,458
Reaction score
8,965
Wadau wa Hip Hop umu JF, heshima kwenu wakuu!

Binafsi, kila ninapoitazama hii video ya 'Bongo Hip-Hop' by Fid Q ft. P Funk na kuilinganisha na videos zake zingine zote tangu yupo kwenye hip-hop game, naishia kuwa in dilemma as to whether Fid Q wa sasa ni yule yule wa awali ama anaanza kubadilika? in line with Fid Q's hip-hop image since the inception of his music career.

Mandhari na swagga za Video hii, naona dizaini kama mkali Fid Q ameanza kubadilika kimikato na kiswagga ktk hip-hop. Nguli huyu likely anaanza au anaelekea kuanza kufanya commercial/modern hip-hop. Kwa jinsi navyomfahamu Fid Q, video yake hii inanifanya nikumbuke ile concept ya ''KEEPING IT REAL Vs. KEEPING IT RIGHT'' through which all hip-hop artists do their stuff.

If you closely follow-up on the previously released Music Videos by FID-Q, you will barely visualize a notion of ''KEEPING IT RIGHT'' in his career. But katika video yake hii mpya, naona sasa Fid Q is ''KEEPING IT REAL'' and not ''KEEPING IT RIGHT'' anymore!

And ofcourse from this point of view, we may now therefore have unsolved task into our minds kwamba What has induced Fid Q to likely shift from one dimension to the other? is it for maintaining & upgrading his fame? or is it for commercial puporses? I am still digesting on this!


-Kaveli-
 
I'm glad you raised this issue man, thought I was being a hater. I don't believe in keeping it real/right or whatever, just keep it you, and that's that. Farid is giving up to the pressure, ile video haiendani kabisa na stigity ya mshkaji, wala muziki wake. kosa la kwanza alilofanya, ni mtu aliyemwamini kuongoza hiyo video take. Ni muongozaji mzuri, ila kwa aina nyingine za muziki.
 
I'm glad you raised this issue man, thought I was being a hater. I don't believe in keeping it real/right or whatever, just keep it you, and that's that. Farid is giving up to the pressure, ile video haiendani kabisa na stigity ya mshkaji, wala muziki wake. kosa la kwanza alilofanya, ni mtu aliyemwamini kuongoza hiyo video take. Ni muongozaji mzuri, ila kwa aina nyingine za muziki.

well said brother, and i'm glad nawewe pia umeliona hilo.

Frankly speaking, ile video haiendani kabisa na hip-hop image of FID Q tunaemjua since aanze game. Ukitazama videos zake zote za nyuma utaelewa nachomaanisha. Possibly ni shooting director ndo aliongoza video iwe na mandhari hayo ama ni Fid mwenyewe ndo alitaka video yake iyo itoke ktk mikato iyo with new swags. Je unadhani ni kosa ambalo Fid hakujua ama ni deliberate strategy for being dynamic commercial-wise?

-Kaveli-
 
well said brother, and i'm glad nawewe pia umeliona hilo.

Frankly speaking, ile video haiendani kabisa na hip-hop image of FID Q tunaemjua since aanze game. Ukitazama videos zake zote za nyuma utaelewa nachomaanisha. Possibly ni shooting director ndo aliongoza video iwe na mandhari hayo ama ni Fid mwenyewe ndo alitaka video yake iyo itoke ktk mikato iyo with new swags. Je unadhani ni kosa ambalo Fid hakujua ama ni deliberate strategy for being dynamic commercial-wise?

-Kaveli-

I'll tell you what man, Fid's styles & graces kwenye kuvaa are pretty lame kwa ujumla. Hiyo mikato aliyojaribu kwenye video, haiendani kabisa na body structure yake, let alone Hip-hop. He should be smarter to know that.

Like i said, he's giving up to the pressure kwa namna flani, Labda yeye pamoja na muongozaji wake waliangalia 'videos za Hip-hop' za kina K.O, Casper Nyovest, sijui Ice Prince ambazo ndio zinazogongwa sana vituo vya kimataifa, ndio wakaamua waje kivile. Kila kitu kwenye ile video ni kibovu, kuanzia character yake mwenyewe, mazingira, mpaka idea ya kuwaweka wale ma-manzi kwa namna ile.

Shida ni moja, wabongo tunaishi kwa unafiki na akili za kushikiwa. Kuna watu flani wakisema kitu basi wote tunabariki kama walivyosema. NIlicheki kwenye social networks baada ya hiyo video kuachiwa, karibu kila mtu aliisifia.
 
I'm professional ndo video Kali kuliko zote toka kwa Fid

Hii bongo hip hop sio kabisa
 
I'm professional ndo video Kali kuliko zote toka kwa Fid

Hii bongo hip hop sio kabisa

I'M PROFESSIONAL ni video yenye mandhari ya kihip-hop real.

Whether I'M PROFESSIONAL ndo the ''best'' video kuliko zote za Fid, huu ni mjadala mwingine ambao kila fan wa hip hop anaweza kuwa na mtazamo tofauti.

''BONGO HIP-HOP'' fid kachemka!

Vipi lakini mkuu, East Cost Team inafufuka lini? Tunamiss ladha za Crazy G.K ktk hip hop.

-Kaveli-
 
Video zote za Fid Q ni mbovu kasoro FID Q.COM

mkuu, say it as per your perception!

Labda tuanzie hapa: Unaangalia vigezo vipi kuconclude kwamba video zote za Fid ni mbovu kasoro FID Q.COM?

-Kaveli-
 
mkuu, say it as per your perception!

Labda tuanzie hapa: Unaangalia vigezo vipi kuconclude kwamba video zote za Fid ni mbovu kasoro FID Q.COM?

-Kaveli-

Ile ndo imekaa kihiphop sana na picha zake ni halisi, hizi nyingine anaweka micolor ya ajabuajabu hadi zinaboa. Hiyo Fid Q. Com kwangu mimi bado ni bora ingawa quality iko chini coz kiteknolojia tulikuwa tuko nyuma enzi hizo
 
I'll tell you what man, Fid's styles & graces kwenye kuvaa are pretty lame kwa ujumla. Hiyo mikato aliyojaribu kwenye video, haiendani kabisa na body structure yake, let alone Hip-hop. He should be smarter to know that.

Like i said, he's giving up to the pressure kwa namna flani, Labda yeye pamoja na muongozaji wake waliangalia 'videos za Hip-hop' za kina K.O, Casper Nyovest, sijui Ice Prince ambazo ndio zinazogongwa sana vituo vya kimataifa, ndio wakaamua waje kivile. Kila kitu kwenye ile video ni kibovu, kuanzia character yake mwenyewe, mazingira, mpaka idea ya kuwaweka wale ma-manzi kwa namna ile.

Shida ni moja, wabongo tunaishi kwa unafiki na akili za kushikiwa. Kuna watu flani wakisema kitu basi wote tunabariki kama walivyosema. NIlicheki kwenye social networks baada ya hiyo video kuachiwa, karibu kila mtu aliisifia.

In red, na hapo pia ndo shida ilipo! Sometimes fans huchangia sana kuwa-mislead emcees. Yes watu wengi wameisifia sana hii video mpya ya FID Q, na wanaona dizaini Fid kama kazaliwa upya ivi ama kaanza kutokelezea kivingine: kuchange mikato & swagga (bila kuconsider body structure yake & hip-hop image yake), kuanza kutumia wadada kwa style ile kwenye video yake, n.k. In short kachemka mbayaaa!!

-Kaveli-
 
Katika video mbovu na ikapewa promo nyingi pamoja na kusifiwa sana ni hii ya Bongo hip hop, sijui alifanya maksudi sababu watu walitaka video yake kabla ya kutoa audio BENDERA YA CHUMA.... Nisher nahisi pia alistuka kuwa amebugi hadi akaamua kuto kutoa teaser hadi iwe official realsed
 
Vipi lakini mkuu, East Cost Team inafufuka lini? Tunamiss ladha za Crazy G.K ktk hip hop.

-Kaveli-

Sina uhakika ni lini.
Gk katoa ngoma inaitwa shukrani kapiga ile michano yake but kama yupo slow hivi!!

I miss Gk wa " komaa nao"" wamejichanganya, itikadi .

May be itakwepo,let's wait
 
kwa mara ya kwanza huu ni wimbo wa fid q ambao haujanivutia kabsa

niliuangalia mara moja tu sijarudia tena!
 
kwa mara ya kwanza huu ni wimbo wa fid q ambao haujanivutia kabsa

niliuangalia mara moja tu sijarudia tena!

sio wewe pekeako mkuu. Sisi pia tuliofunga 'ndoa' na hip-hop, hii video mpya ya Fid imetuchefua to the maximum! Audio yake ni nzuri sana, na tulitegemea atoe video yenye akili in tandem with his Hip-Hop image. Video hii kila napoicheki siielewi hata kidogo, nimebakia kusikiliza audio yake tu. Fid kaanza kuja na mikato ya kiduwanzi kwenye videos zake.

-Kaveli-
 
Katika video mbovu na ikapewa promo nyingi pamoja na kusifiwa sana ni hii ya Bongo hip hop, sijui alifanya maksudi sababu watu walitaka video yake kabla ya kutoa audio BENDERA YA CHUMA.... Nisher nahisi pia alistuka kuwa amebugi hadi akaamua kuto kutoa teaser hadi iwe official realsed

na si ajabu kichupa hiki kikapewa airtime ya kutosha kwenye tv stations zetu za bongo. Audio iko tight to the fullest, but Video kabugi!

-Kaveli-
 
Am glad mumeona hii kitu, kuna baadhi ya nyimbo (audios) hazitakiwi kufanyiwa video, na Bongo hip hop nadhani ni moja ya hizo audio. Fid Q angeacha tusikilize tu audio maana hii video nilipoiona mara ya kwanza nilijua labda sio OFFICIAL RELEASED VIDEO, Kumbe ndio official hivo. Kiukweli ni moja kati ya video MBAYA SANA za hip hop hapa bongo na kama mlivyotangulia kusema hapo juu hii itakua pressure ya media na wasanii wengine kama (weusi) ambao Fid Q haendani nao kabisa. Kimsingi amepoteza hata ule uzuri wa huu wimbbo kwa audio mbovu kama hio. Mimi sikuhizi hata audio sisikilizi tena maana nahisi kama naangalia Video mbovu.
 
Sina uhakika ni lini.
Gk katoa ngoma inaitwa shukrani kapiga ile michano yake but kama yupo slow hivi!!

I miss Gk wa " komaa nao"" wamejichanganya, itikadi .

May be itakwepo,let's wait


Mkuu tupo pamoja hapa, GK ni yule wa kipindi kile cha Komaa nao, Itikadi, Hii leo, Ama Zangu Ama Zao, Kosa langu, Nitakufaje, akirudi katika ubora ule hakika atarudi kwenye game, sio hizi nyimmbo anaimba sikuhizi kama baraka au laana ni matakataka matupu. Nilimsikia kwenye show ya mkasi EATV akajisifia atarudi katika ule ubora wake na sasa ataimba nyimbo za maana zaidi kama msomi wa shahada ya uzamiri, huu wimbo mpya kidogo anasikilizika.
 
Mkuu tupo pamoja hapa, GK ni yule wa kipindi kile cha Komaa nao, Itikadi, Hii leo, Ama Zangu Ama Zao, Kosa langu, Nitakufaje, akirudi katika ubora ule hakika atarudi kwenye game, sio hizi nyimmbo anaimba sikuhizi kama baraka au laana ni matakataka matupu. Nilimsikia kwenye show ya mkasi EATV akajisifia atarudi katika ule ubora wake na sasa ataimba nyimbo za maana zaidi kama msomi wa shahada ya uzamiri, huu wimbo mpya kidogo anasikilizika.

kweli mkuu, G.K kwenye hii pini yake mpya ''Shukrani'' kaanza kurudi kwenye ile flowing yake ya kuchana, though hatuna hakika kama ame-resume completely.

-Kaveli-
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom