Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Staa wa Hip Hop Nchini, Fid Q anazungumzia zoezi la Uandikishaji na Uboreshaji wa Daftari la Kupiga Kura kwa kusema Kasi ya Kupiga Kura ni muhimu na inakupa uhuru wa kumchagua kiongozi unayemtaka na hiyo inamaanisha unaamua maisha yako ya sasa na ya baadaye.
Anasema unaposhiriki Kupiga Kura inamaanisha hiyo ndio njia pekee ya kuwa na kiongozi ambaye wewe unamtaka, ili kutimiza hilo unatakiwa kuwa na Kadi ya Kupiga Kura, hivyo basi ni jukumu lako kwenda kujiandisha na upate Kadi ambayo itakupa haki yako ya Kikatiba.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Anasema unapopiga kura unajitoa kwenye kundi la Watu ambao watakuwa wakilalamika kuhusu uwepo wa kiongozi ambaye hawakumtaka
Fareed K. Kubanda “Fid Q”
Msanii Bongo Fleva / Hip Hop
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Anasema unapopiga kura unajitoa kwenye kundi la Watu ambao watakuwa wakilalamika kuhusu uwepo wa kiongozi ambaye hawakumtaka
Fareed K. Kubanda “Fid Q”
Msanii Bongo Fleva / Hip Hop