Umetoa shilingi ngapi?Dah wakazi wa Babati mjini leo tulikua kama wakimbizi aisee!! Yaani ukikutwa mtu unatembea road ni kubebwa tu kwenye defender kutoka na pesa!!!! Yaani leo huku ulikua n mkimbizano.. tuu
Black belt za hapa kwenye keyboards au zipi hizo? Maana wenye Black belt huwa hawajitangazi lakini hutangazika wenyewe kama Ibrahimovich Cardabla, Rais Putin.Kila siku naombea zali kama hizi zinipate niitendee haki Black Belt yangu.
Cha kusikitisha inawatokea wengine tu. Sijui na gundu!
Kila siku naombea zali kama hizi zinipate niitendee haki Black Belt yangu.
Cha kusikitisha inawatokea wengine tu. Sijui na gundu!
Mimi nikiwaonaga tu nabadili njiaUsisubiri mpaka wakuchokoze! wafuate kambini/kituoni kwao halafu jigeuze kama yule diwani wa Kigoma kwa tiketi ya ACT Wazalendo (Baba Levo). Unamshushia kipondo cha mbwa mwizi poti mmoja, halafu subiria matokeo.
AK 47!Kila siku naombea zali kama hizi zinipate niitendee haki Black Belt yangu.
Cha kusikitisha inawatokea wengine tu. Sijui na gundu!
Muache kuzurura sasakuna washikaji wamelazwa ndani aisee kisingizio uzururaji

Mkuu tatizo sisi wenye Black Belt tuna miiko yetu tuliapa huko shaulin tample. Huruhusiwi kabisa kuprovoke na kuanzisha fujo maksud hadi uwe provoked kwanza. Mwiko kabisa kwetu kifuata fujo hii ni kutokanana mafunzo yetu na Mbinu zetu za hatari za kujiami na kupigana.Usisubiri mpaka wakuchokoze! wafuate kambini/kituoni kwao halafu jigeuze kama yule diwani wa Kigoma kwa tiketi ya ACT Wazalendo (Baba Levo). Unamshushia kipondo cha mbwa mwizi poti mmoja, halafu subiria matokeo.
We dogo bangi acha utakuwa kama Dr shikaKila siku naombea zali kama hizi zinipate niitendee haki Black Belt yangu.
Cha kusikitisha inawatokea wengine tu. Sijui na gundu!
Never. Niko makini sana na spending. Nina nidhamu ya hali ya juu ya fedha, japo bangi na sigara ndo pekee natumia hela nyingi.We dogo bangi acha utakuwa kama Dr shika
Kila siku naombea zali kama hizi zinipate niitendee haki Black Belt yangu.
Cha kusikitisha inawatokea wengine tu. Sijui na gundu!





ww endelea kuomba dua tu ipo siku utafanikiwa.Black Belt. Black Belt...Hiyo miiko mliyopewa ni changa la macho maana hizo mnazoita MBINU HATARI za kufikirika mkirusha ngumi na mateke hewani au kuchezeshana mbinu nikimaanisha unarusha ngumi au teke alafu mwenzako anapangua. Kuna wenzako na tu belt twao wanapigwa na masela kitaa!Mkuu tatizo sisi wenye Black Belt tuna miiko yetu tuliapa huko shaulin tample. Huruhusiwi kabisa kuprovoke na kuanzisha fujo maksud hadi uwe provoked kwanza. Mwiko kabisa kwetu kifuata fujo hii ni kutokanana mafunzo yetu na Mbinu zetu za hatari za kujiami na kupigana.
Sipendi kabisa kutumia silaha hasa bunduki ila nikishika kisu dogo halafu uingie anga zangu.
Black Belt. Black Belt...Hiyo miiko mliyopewa ni changa la macho maana hizo mnazoita MBINU HATARI za kufikirika mkirusha ngumi na mateke hewani au kuchezeshana mbinu nikimaanisha unarusha ngumi au teke alafu mwenzako anapangua. Kuna wenzako na tu belt twao wanapigwa na masela kitaa!