Feeling lonely

Habar zenu..? Nahtaj rafiki wa kiume ambae yupo single kama mimi tuwe tunachart na if god wishes tuwe wapenz hatimae tuoane... Sihitaj kuwa diss appounted jaman

Sema nahitaji mupenzi watu wajimwage,acha blah! blah! za rafiki bhana
 
Kimjaacho mtu ndo kimtokacho.... Kwan kila rafk lazma awe mpenzi??
 
Huko unakoishi wanaume hawapo binti?

Love Connect imewekwa ya nini?
Majibu ya namna hii ndio yanafanya watu wajiulize mara mbili kabla hawajajifunga mabomu na kuweka mabandiko yao ya kusaka wenza best
 
ha ha ha umenichekesha sana doh!!
 
Imewekwa kwa watu wanaojielewa...

Kwanza kwa namna tu huyu mtu aandikavyo anaonekana yungali binti mdogo sana...

Am very positive huyu binti ataishia kuumizwa moyo wake...she seems desperate

Love Connect imewekwa ya nini?
Majibu ya namna hii ndio yanafanya watu wajiulize mara mbili kabla hawajajifunga mabomu na kuweka mabandiko yao ya kusaka wenza best
 
Imewekwa kwa watu wanaojielewa...

Kwanza kwa namna tu huyu mtu aandikavyo anaonekana yungali binti mdogo sana...

Am very positive huyu binti ataishia kuumizwa moyo wake...she seems desperate

Nimekuelewa best.
If you can,mwite kipande ile umshauri before its too late
 
Nimekuelewa best.
If you can,mwite kipande ile umshauri before its too late

Hahaha...haya machache niliyoandika kama ana macho na asome.

I dont entertain much huko upande wa pili unless mtu anifuate mwenyewe besti....
 
Bonge la nouma kutongoza wanaume kiakili................!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…