Pole dawa ya kumpata mmwenza ni goti tu, mengine yooote mbwembwe mpenzi. muombe Mungu atakupa kwa wakati usijeparamia mapepo bure humu.
Binafsi Nilishawahi kutana na mwa JF mmoja (tena kirafiki tu na si ki upenzi zaidi) niliumwa kichwa kwa wiki nzima karibia kufa hadi nilipopelekwa kupata maombi ya deliverance (si uongo). lile lilikuwa pepo nahisi.