Feedback Interview Tume ya Utumishi wa Mahakama

Feedback Interview Tume ya Utumishi wa Mahakama

Wanajamvi salamu kwenu, vipi kuhusu maslai kwenye hizi nafasi za HR na,Afisa Tawala? Achilia salar. Kwa mwenye ufahamu tafadhal
 
Wale walio kuwa wanasubiri kuitwa kazini tume ya utumishi wa mahakama, haya majina yametoka, Je, mlichokitegemea ndicho mlichokipata? Haahahahaah najua wengi wetu ni majonzi matupu maana, mambo yamekuwa ni kinyume maana kwa mfano miye kwenye kundi/ jopo langu ni watu wanne tu ndiyo waliyo itwa kazini, sitaki kuamini kwamba katika watu 24 tuliokuwa kwenye jopo letu, ni watu wanne tu ndiyo waliofaulu usahili ule.
Hakika kunakila viashiria vya rushwa ndani yake.
Eti wanajiita chombo cha kutoa haki, hakika Tanzania imeoza kila kona hakuna mahakama wala taasisi yeyote ya serikali iliyosafi.
Mwenye macho haambiwi tazama.
 
Wale walio kuwa wanasubiri kuitwa kazini tume ya utumishi wa mahakama, haya majina yametoka, Je, mlichokitegemea ndicho mlichokipata? Haahahahaah najua wengi wetu ni majonzi matupu maana, mambo yamekuwa ni kinyume maana kwa mfano miye kwenye kundi/ jopo langu ni watu wanne tu ndiyo waliyo itwa kazini, sitaki kuamini kwamba katika watu 24 tuliokuwa kwenye jopo letu, ni watu wanne tu ndiyo waliofaulu usahili ule.
Hakika kunakila viashiria vya rushwa ndani yake.
Eti wanajiita chombo cha kutoa haki, hakika Tanzania imeoza kila kona hakuna mahakama wala taasisi yeyote ya serikali iliyosafi.
Mwenye macho haambiwi tazama.

Jamani siamini sana katika hilo mbona kuna watu wamepata japo hawana ndugu wala rafiki katika taasisi hiyo...na hakuna hata sumni waliyoitoa...au ndo zali la msafara wa mamba...kenge hajakosa

Tujipange...tujiamini na kujidhatiti pia tusiwe wepesi wa kukata tamaa
 
Hii tume cjaielewa kwa kweli coz watu wengine hawakuwa ktk majina ya usail bt wamepangiwa vituo vya kaz.imeniuma sana bt one day yes Mungu atatuckia kilio chetu
 
Back
Top Bottom