Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,140
- 2,499
Majina yametoka jana
Dailynews ya jana. Hawajaweka kwenye website yao
Hahahahaha me nacheka kwn, watu mtakufa na presha za humu jamvn na majna hayajulkan yatatoka ln, leo nmechungulia hr department wanashortlist zle nafac 560 hawana hbr na ile interview ya tar 4 na tano may
Hata mimi nimepata, nimepangiwa Sumbawanga. Kuripoti ni tar 8.06. Hapa najiandaa jumatatu niingie ofisini. Asante Mungu. Asante wana JF.Mie nmepata ndugu!! Endelea kusema hivyo hivyo!! Maana watu mnabishana Na ukweli
Nimejaribu kuscan na ku attach kama nimechemka mnisamehe
Majina yametoka dairly news na (mtanzania ya tarehe 1 June ukurasa wa 26---) Kuripoti ni next monday tarehe 8.6.2015 katika ofisi za mahakama za kanda....all the best.
Kwa mfano nipo kanda ya moshi ila nimepangiwa wilaya ya same je naenda moshi mjini au same?