Feedback Interview Tume ya Utumishi wa Mahakama

Feedback Interview Tume ya Utumishi wa Mahakama

tetemekoo

Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
35
Reaction score
11
Kwa wale tuliofanya Usaili wa Human Resources Officers na Adiministrative Officers tar. 4 na 5 April Tume ya utumishi wa mahakama national stadium tukutane kwenye uzi huu tupeane updates. Ni wiki ya pili sasa hawa jamaa bado wapo kimya! Lini wanatoa majibu?? Mwenye taarifa tafadhal
 
Subira inahtajka kijana!! Hata mwezi haujaisha


Baadhi yetu hufikiri kuwa kusubir ndiyo kunawafanya kuwa imara, lakini wakati mwungine ni kuruhusu fursa ipite
said by Hermann Hesse (1877-1962)
 
Ila nadhani haitachukia mda sana tusubilie ndani ya wiki tatu zijazo hopefully everything we be alright
 
Kwa wale tuliofanya Usaili wa Human Resources Officers na Adiministrative Officers tar. 4 na 5 April Tume ya utumishi wa mahakama national stadium tukutane kwenye uzi huu tupeane updates. Ni wiki ya pili sasa hawa jamaa bado wapo kimya! Lini wanatoa majibu?? Mwenye taarifa tafadhal
jamani hata nyepesi nyepesi hakuna!! Au waliofanya usaili hii Nafasi ni wachache humu jukwaani
 
Wakuu naskia kuitwa kazini ni mpaka baada ya bunge la budget!
 
Back
Top Bottom