Feedback after interview

House Boy

Senior Member
Joined
Apr 7, 2018
Posts
103
Reaction score
91
Wanajukwaa mambo vipi?
Kuna company tulifanya interview kama wiki tatu zilizopita, juzi kuna baadhi ya wasailiwa walipokea jumbe kupitia barua pepe zao kuwa AHSANTE KWA KUSHIRKI mean hawakufanikiwa.

Ila wengine hadi leo hatujapokea email ya aina yoyote.

JE MKEKA UMEKAAJE HAPO?
 
Company yenyewe ni DNATA
Nafasi zilikuwa
Customer service agent
Security agent
Cleaners agent
Ramp agent
 
Vipi mkuu washakujibu au bado wamekula buyu?
 
Interview ilifanyika tarehe 28, 29 na 30 June ila mpaka sasa ukiwatoa wale waliopokea email za kuwa wamekosa kazi sisi wengine hadi leo hakuna majibu.

SIJUI TENA KUNA NINI
 
Barua za majibu ya interview ukiona maneno machache usisome jua moja kwa moja hukufanikiwa.

Au tupa jicho paragraphy ya pili ukiona inaanza na UNFORTUNATELY usipoteze muda wako kusoma!

Maisha ni mapambano.
 
Acha niendelee kuuza mahindi ila kama nitapata mrejesho uwe positive or negative nitarudi
Wahindi wa Dubai hao nawajua,yaani hadi wakukubali wakuchukue hao shughuli yake sio kitoto.
Hata kazi zao pia kama ni mvivu usiende,katafute kazi zingine.
 
Barua za majibu ya interview ukiona maneno machache usisome jua moja kwa moja hukufanikiwa.

Au tupa jicho paragraphy ya pili ukiona inaanza na UNFORTUNATELY usipoteze muda wako kusoma!

Maisha ni mapambano.
Barua au Emails
 
Wahindi wa Dubai hao nawajua, yaani hadi wakukubali wakuchukue hao shughuli yake sio kitoto.
Hata kazi zao pia kama ni mvivu usiende,katafute kazi zingine.
Duh, acha tuone itakavyokuwa kwa kule Zanzibar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…