Ndugu wanabodi, siyo siri ni fedheha na usanii mkubwa kupeleka Makao makuu ya Mkoa Mkwajuni.
Naomba nieleweke kuwa sina nia mbaya na jina la Mkoa Wa Songwe. Shida yangu kwa nini Makao Makuu yanaenda Mkwajuni? Ni vigezo vipi vinatumika Kupata Makao Makuu ya Mahali furani? Kwa mfano Mtu wa Ileje ambaye anatembea umbali wa km 220 mpaka Mbeya Mjini, sasa atatembea km 305 hali kadharika Tunduma na Momba. Kwanini wasingeweka makao Makuu Mlowo ili kuwianisha Umbali?
Zipo taarifa ambazo siyo rasimi kuwa wapo watu wametumia pesa nyingi kufanikisha hili. Mimi nafikiri sasa ni wakati wa Wapenda Maendeleo wa Mbozi na Ileje kusimama kupinga upuuzi na Utupu wa wazi kabisa kama huu.
Makao Makuu yangefaa kuwa Mkwajuni endapo tu hata Tabora ingekuwa sehemu ya huu Mkoa Mpya. Haya ni Maajabu Mengne ya ulimwengu kama yalivyo Maajabu yaliyotangulia kwenye rasmu ya Katiba kuwa kuwe na Serikari Tatu.
Kwa manufaa ya watu ambao hawafahamu vizuri huu mkoa, ni kwa Mfano utoe makuu ya Tanzania kwa sasa toka Dodoma upeleke Mara au Mwanza, je utakuwa umewatendea haki wenzetu wa songea, mtwara na mby?
Twende barabarani kabla Rais haja tia saini yake. Silinde ongoza jahazi. Tunajua wenzako Zambi na Kibona hawana lolote maana Kama Kibona mbunge wa Ileje sidhani kama hata alichangia chochote.
Hao wakuu wa Wilaya, wakurugenzi ni wapita njia, watatuacha sisi na adhaa. Wao wamelishwa pesa na wakaunga Mkono hoja. Hata hivyo baada ya kumaliza kikao walienda hotelini na Mfanyabiashara Maarufu wa Madini wakiongozwa na moja ya kiongozi wa juu wa Serikali ambaye alikuwa Mjumbe wa kikao hicho ktk hotel Moja iliyo Maeneo ya Sowete kwa Mwaisabila.
Haikubaliki, ni hujuma, unafiki, uzandiki na utupu!! Tusimame kuondoa udharimu Mpya. Hii sasa ni vita ileje na Mbozi funga mikanda. Bora kwenda Malawi au zambia lakni siyo udikiteta wa pesa.
NAWASILISHA.
Naomba nieleweke kuwa sina nia mbaya na jina la Mkoa Wa Songwe. Shida yangu kwa nini Makao Makuu yanaenda Mkwajuni? Ni vigezo vipi vinatumika Kupata Makao Makuu ya Mahali furani? Kwa mfano Mtu wa Ileje ambaye anatembea umbali wa km 220 mpaka Mbeya Mjini, sasa atatembea km 305 hali kadharika Tunduma na Momba. Kwanini wasingeweka makao Makuu Mlowo ili kuwianisha Umbali?
Zipo taarifa ambazo siyo rasimi kuwa wapo watu wametumia pesa nyingi kufanikisha hili. Mimi nafikiri sasa ni wakati wa Wapenda Maendeleo wa Mbozi na Ileje kusimama kupinga upuuzi na Utupu wa wazi kabisa kama huu.
Makao Makuu yangefaa kuwa Mkwajuni endapo tu hata Tabora ingekuwa sehemu ya huu Mkoa Mpya. Haya ni Maajabu Mengne ya ulimwengu kama yalivyo Maajabu yaliyotangulia kwenye rasmu ya Katiba kuwa kuwe na Serikari Tatu.
Kwa manufaa ya watu ambao hawafahamu vizuri huu mkoa, ni kwa Mfano utoe makuu ya Tanzania kwa sasa toka Dodoma upeleke Mara au Mwanza, je utakuwa umewatendea haki wenzetu wa songea, mtwara na mby?
Twende barabarani kabla Rais haja tia saini yake. Silinde ongoza jahazi. Tunajua wenzako Zambi na Kibona hawana lolote maana Kama Kibona mbunge wa Ileje sidhani kama hata alichangia chochote.
Hao wakuu wa Wilaya, wakurugenzi ni wapita njia, watatuacha sisi na adhaa. Wao wamelishwa pesa na wakaunga Mkono hoja. Hata hivyo baada ya kumaliza kikao walienda hotelini na Mfanyabiashara Maarufu wa Madini wakiongozwa na moja ya kiongozi wa juu wa Serikali ambaye alikuwa Mjumbe wa kikao hicho ktk hotel Moja iliyo Maeneo ya Sowete kwa Mwaisabila.
Haikubaliki, ni hujuma, unafiki, uzandiki na utupu!! Tusimame kuondoa udharimu Mpya. Hii sasa ni vita ileje na Mbozi funga mikanda. Bora kwenda Malawi au zambia lakni siyo udikiteta wa pesa.
NAWASILISHA.