SOFTWARE Fedhabook: Mfumo Unaokupa Udhibiti Kamili wa Mauzo, Stock, Cash Flow + Invoice, Quotation & Delivery Note

SOFTWARE Fedhabook: Mfumo Unaokupa Udhibiti Kamili wa Mauzo, Stock, Cash Flow + Invoice, Quotation & Delivery Note

Website Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2020
Posts
285
Reaction score
172
Habari wanaJF,

Hebu nikuulize swali moja la msingi kama mmiliki wa biashara๐Ÿ‘‡
Ukiwa nyumbani, safarini au hata nje ya nchiโ€”
๐Ÿ‘‰ Unaweza kuona hali halisi ya biashara yako sasa hivi?

Kama jibu ni hapana, basi kuna tatizo kubwa kuliko unavyodhani.

๐Ÿ‘‰ Ukweli mchungu ni huu:
Biashara inaweza kuwa kubwa, ina mauzo mengi, lakini bado inapoteza pesa kimya kimya.

Na chanzo kikubwa ni kimoja tu ๐Ÿ‘‡
โŒ Hakuna mfumo sahihi wa kusimamia biashara
au
โŒ Unatumia mfumo mgumu, wa gharama kubwa, na usioruhusu customization kulingana na biashara yako

๐Ÿ”ฅ PAIN POINTS HALISI ZA MFANYABIASHARA MKUBWA

๐Ÿ”ด Hujui stock halisi uliyobaki nayo
๐Ÿ”ด Huna uhakika na ripoti za mauzo
๐Ÿ”ด Cash flow haionekani wazi
๐Ÿ”ด Wafanyakazi wanakuibia bila wewe kujua
๐Ÿ”ด Unategemea Excel, daftari au mfumo wa jumla usioendana na biashara yako
๐Ÿ”ด Unalipa mifumo ya gharama kubwa lakini:
  • Hairuhusu customization
  • Support ni hafifu au ya mbali
  • Training ni ya juu juu
  • Mfumo haulandani na uhalisia wa biashara yako
๐Ÿ‘‰ Mwisho wa siku, mfumo unakulazimisha ubadilishe biashara yako uendane nao, badala ya wao kuubadilisha uendane na biashara yako.

โœ… SULUHISHO: MFUMO WA FEDHABOOK

2.png

Nimeunda Fedhabook โ€” mfumo wa kisasa wa kusimamia biashara,
๐Ÿ‘‰ uliotengenezwa kwa mazingira ya biashara zetu,
๐Ÿ‘‰ sio mfumo wa ku-copy kutoka nje.

๐Ÿ“Œ Unachohitaji ni:
๐ŸŒ Internet
Kisha:
โœ”๏ธ Unaingia kwenye mfumo popote ulipo
โœ”๏ธ Dukani, nyumbani, safarini au nje ya nchi
โœ”๏ธ Unaona mwenendo wa biashara yako LIVE

Hii inakupa:
โœ… Mauzo ya leo
โœ… Stock iliyobaki
โœ… Cash flow halisi
โœ… Maamuzi kwa data, sio maneno

โญ KINACHOITOFUTISHA FEDHABOOK

๐Ÿ‘‰ Mfumo unacustomizwa kulingana na biashara yako.

Sio wewe kuubeba mfumo โ€”
๐Ÿ‘‰ mfumo ndio unakubeba wewe.

๐Ÿ“Š FEDHABOOK INAKUSAIDIA KUDHIBITI:


โœ”๏ธ Products (Bidhaa)
โœ”๏ธ Purchases (Manunuzi)
โœ”๏ธ Sales (Mauzo)
โœ”๏ธ Stock Management
โœ”๏ธ Customers & Suppliers
โœ”๏ธ Reports (Mauzo, Faida, Stock, Cash Flow)

๐Ÿ“„ Mfumo unatengeneza automatically:
  • Invoice
  • Quotation
  • Proforma Invoice
  • Delivery Note
6.png


7.png


Vyote vikiwa professional, tayari kuchapishwa au kutumwa kwa mteja.

๐Ÿ’ฐ GHARAMA & KWA NINI ZINA MAANA

๐Ÿ”น Setup Fee:​

Hii sio hela ya kufungua akaunti.

Kwa Tsh 300,000 unapata:
โœ”๏ธ Mfumo kubrandwa jina la biashara yako
โœ”๏ธ Invoice na documents zenye brand yako
โœ”๏ธ Mfumo kuandaliwa kulingana na mtiririko wa biashara yako
โœ”๏ธ Customization kamili kulingana na mahitaji yako
โœ”๏ธ Training ya kina (si ya juu juu)
โœ”๏ธ Mfumo unaanza kazi immediately

๐Ÿ‘‰ Fedhabook sio software tu,
๐Ÿ‘‰ ni sehemu ya biashara yako.

๐Ÿ”น Malipo ya Kila Mwaka:​

โœ”๏ธ Matumizi ya mfumo
โœ”๏ธ Maintenance
โœ”๏ธ Support ya karibu
โœ”๏ธ Uhifadhi salama wa taarifa zako (online)

๐Ÿ”ฅ OFFER MAALUM โ€“ JANUARY TU

๐Ÿšซ HUTALIPIA Annual Fee ya Tsh 150,000
โœ… Unalipia Tsh 300,000 tu

๐Ÿ‘‰ Badala ya Tsh 450,000
๐Ÿ‘‰ Unalipia Tsh 300,000 pekee

โš ๏ธ Ofa hii ni ya January tu
โš ๏ธ Ukikosa, gharama zitarudi kawaida

โš ๏ธ UKWELI WA MWISHO

Mfanyabiashara mkubwa:
๐Ÿ‘‰ haangalii gharama,
๐Ÿ‘‰ anaangalia hasara anayoepuka.

Kama mfumo:
โœ”๏ธ Unakupa udhibiti
โœ”๏ธ Unakupa uwazi
โœ”๏ธ Unakupa maamuzi sahihi
โœ”๏ธ Unakuondolea stress

๐Ÿ‘‰ Huu sio matumizi โ€” ni uwekezaji.

๐Ÿ‘ฅ NI BIASHARA GANI ZINALAZIMIKA KUTUMIA FEDHABOOK?

Fedhabook ni kwa wamiliki wa:
๐Ÿ›’ Retail & Wholesale
๐Ÿฌ Supermarket
๐Ÿ’Š Pharmacy
๐Ÿ”ง Hardware & vifaa vya ujenzi
๐Ÿด Migahawa, cafe, hoteli ndogo
๐Ÿšš Distributors
๐Ÿ“ฆ Biashara zenye stock nyingi

๐Ÿ‘‰ Kwa sababu bila mfumo sahihi:
โŒ Mauzo, stock na fedha hupotea kimya kimya
โœ… Fedhabook inatoa udhibiti wa 100% na ripoti halisi

๐Ÿ“ฉ Kama una biashara na unataka mfumo uendane na biashara yako,
๐Ÿ‘‰ niandikie PM au comment hapa chini

๐Ÿ“ž MAWASILIANO (SMS / CALL / WHATSAPP)
๐Ÿ“ฑ 0797 870 940

โณ Wasiliana nasi sasa kabla ofa haijaisha.
 
Kwa Tsh 300,000 Tu
Unajipatia mfumo huu wa
fedhabook.
0797870940 (call/sms/whatsapp)
 
Karibu sana โ€“ kazi ni kuanza mara moja! ๐Ÿš€ call/whatsapp 0797 870 940
 
Karibu sana โ€“ kazi ni kuanza mara moja! ๐Ÿš€ call/whatsapp 0797 870 940.
 
mfumo wa ku manage biashara yako unaupata kwa 300,000 tu.

0797870940
 
โœ”๏ธ Products (Bidhaa)
โœ”๏ธ Purchases (Manunuzi)
โœ”๏ธ Sales (Mauzo)
โœ”๏ธ Stock Management
โœ”๏ธ Customers & Suppliers
โœ”๏ธ Reports (Mauzo, Faida, Stock, Cash Flow)
 
Karibu sana โ€“ kazi ni kuanza mara moja! ๐Ÿš€ call/whatsapp 0797 870 940
 
Karibu sana โ€“ kazi ni kuanza mara moja! ๐Ÿš€ call/whatsapp 0797 870 940
 
Umeeleza vizuri sana pain points za wafanyabiashara wengi Tanzania,hasa suala la stock control, cash flow visibility na decision making kwa kutumia data.
Swali langu ni moja tu la kibiashara:
Kwa sasa mnapataje wateja wapya wa Fedhabook?
Je, ni kupitia referrals, ads, au direct outreach kwa biashara kama supermarkets, pharmacies, na wholesalers?
Nauliza kwa sababu mara nyingi changamoto kubwa kwa SaaS kama hii sio kujenga software bali kufikia wafanyabiashara sahihi wanaohitaji mfumo huo kwa wakati sahihi.
Nafanya kazi kwenye upande wa B2B lead research na client acquisitionโ€”hasa kutambua biashara ambazo tayari zina signals kwamba wanahitaji systems kama hizi (kwa mfano businesses zinazokua haraka, distributors wenye stock nyingi, au retail chains).
Ningependa kujua experience yenu upande wa kupata clients.
 
Back
Top Bottom