Fedha zetu matopeni tena?

Nadhani ni muda sasa ndugu Kadogosa kujiuzulu nafasi ya ukurugenzi madudu ni mengi uongo mwiiiingi
Lini uliona mwafrika akajiuzulu cheo chake mkuu? Sisi tukipewa nafasi hatujui uwajibikaji, coz kiuhalisia ukikosea unatakiwa uwaachie wenye uwezo waendelee, huo ndio uwajibikaji.
 
Sijui shida huwa ni nini? Nchi hii akitawala Muislam tunalizwa kwa kuibiwa akitawala Mkristo anapambana kujenga uchumi na kukandamiza wanachi sijui sasa tutafute mpagani? Mama anafeli sana!
 
Hii nchi hakuna kesi ya serikali ikashinda.

Hao wanasheria sijui mawakili ni kama wanakomoa.

Wauze tu kila kitu.

Sembe leo kilo ni 2000, mchele kilo 3000, maharage kilo 3600. Maji hakuna kabisa, umeme mgao mkali.

Tumeshapoteza mwelekeo.
Tupo wepesi kama karatasi angani
 
Hii nchi hakuna kesi ya serikali ikashinda.

Hao wanasheria sijui mawakili ni kama wanakomoa.

Wauze tu kila kitu.

Sembe leo kilo ni 2000, mchele kilo 3000, maharage kilo 3600. Maji hakuna kabisa, umeme mgao mkali.

Tumeshapoteza mwelekeo.
Sembe hutokana na mahindi makavu kusagwa,Michele hutokana na mpunga,vyote na maharage hulimwa,kalime upate unafuu wa maisha,acha kulialia,hakuna pinda wa kukulimia ili maisha yawe rahisi kwako
 
Hiyo REA ndio tulioambiwa hakuna Umeme wa 27,000/ kila siku inakuwa afadhali ya jana.
Brother Mshana Jr hii inaweza kuwa ni laana huko kwenye mambo ya kiroho. Tunahitaji kafara kubwa au ibada nzito kuvunja huu mkosi. Lile nina Tanganyika linafikirisha sana
 
Hii nchi hakuna kesi ya serikali ikashinda.

Hao wanasheria sijui mawakili ni kama wanakomoa.

Wauze tu kila kitu.

Sembe leo kilo ni 2000, mchele kilo 3000, maharage kilo 3600. Maji hakuna kabisa, umeme mgao mkali.

Tumeshapoteza mwelekeo.
Na ingekuwa treni zinafika huko, zingekamatiwa huko huko kama ilivyokuwa kwa ndege
 
Hii nchi hakuna kesi ya serikali ikashinda.

Hao wanasheria sijui mawakili ni kama wanakomoa.

Wauze tu kila kitu.

Sembe leo kilo ni 2000, mchele kilo 3000, maharage kilo 3600. Maji hakuna kabisa, umeme mgao mkali.

Tumeshapoteza mwelekeo.
Kwani tangu lini aliyeshiba akamkumbuka mwenye njaa
 
Tumsifie mama anaupiga mwingi kwenye hii issue ya mabehewa.
 
Kukana, kwa serikali yetu ni kawaida sana..!! Walishawahi kana ZANZIBAR ilipojiunga na OIC, walishakana LOLIONDO ilipouzwa..!! hayo yote yalipelekea Stan Katabalo kuuwawa na gazeti lake lililojulika kama motomoto lilifungiwa maisha..!!

By the way, Mpaka wanavunja, walishalipa shilingi ngapi? Na kama walilipa, zipo wapi hadi sasa?
 
Analiwa kichwa soon
Masanja Kadogosa anadhani mikataba ya kimataifa ni sawa na kutoa tangazo la kuvunja vibanda Jamatini na stendi kuu. Mkataba lazima uheshimiwe na pande zote mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…