"Fedha au risasi" You join me or you die!

"Fedha au risasi" You join me or you die!

Yanayotokea Tanzania, yakitokea kwa wenzetu nchi inasimama. Nisiitaje kwani mifano ni mingi Duniani. Watanzania amkeni. Kama leo ni mimi kesho ni wewe. Kama siyo wewe ni baba yako, dada yako, kaka yako au Mtoto wako. au jirani yako. Inabidi sasa tuseme : ENOUGH IS ENOUGH..,.. Imetousha !

Kweli kabisa, mauji ya viongozi na wana usalama wetu Kibiti, Mkuranga, Rufiji etc ni mfano wa jinsi wananchi wasivyo kuwa makini kushiriki katika ulinzi wa Taifa maana wahusika wanaishi nao na wanafahamiana.
 
Nina imani wewe pia unajua wanapokaa, anza wewe na ulete mrejesho.
Usipende kutumia nafsi ya wingi "sisi" pendelea umoja "mimi" na ndo itakusaidia.
Tuondolee utahira wako
 
We mbwa acha kuwa na imani potofu...ummoja ni nguvu.....wanaouwawa na kuteswa kwa amri ya viongozi wa ccm kutoka juu ni wengi sn. So kwenye hao sisi ww haumo maana ni mtu usiyejulikana au pengine sio raia bali mnyarwanda hauna uchungu wowote na nchi
Huyu ananufaika moja kwa moja na utawala huu,lazima aponde.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom