boss nmekupata na vp gharama za ups. Ziko vp kwa uzoefu wakoNacho elewa,hata kama hawana tawi Moshi, mzigo wako ukiagizwa lazima Wana mechanism za kukufikishia mzigo wako,wanaweza wakukuletea wenyewe au wakuutma kwa njia nyingine...Mimi nlitmia UPS nkaupata
Nashukuru kiongozi nitajaribu kufika niweze kupata information ZaidWana tawi mkuu.. mwanzo lilikua pale Kahawa house lakin kwa sasa wanehamishia ofisi boma road karibu na ofisi za uhamiaji. Opposite kabisa na jengo la YWCA