Februari 18: Lissu alivyombana shahidi wa siri P7 kuhusu maelezo aliyoyatoa polisi. Kila kitu anasema hapana

Februari 18: Lissu alivyombana shahidi wa siri P7 kuhusu maelezo aliyoyatoa polisi. Kila kitu anasema hapana

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
889
Reaction score
2,863
Wakuu,

Kwa aliyeelewa maelezo ya shahid naomba anieleweshe. Kajikanyaga mno

Lissu alimtaka shahidi aonyeshe kama baadhi ya kauli alizodai zilisemwa kijiweni kwao ikiwemo madai kuhusu Chadema kuzuia uchaguzi, polisi kuiba kura na majaji kuwa vibaraka wa CCM zilikuwa zimeandikwa kwenye maelezo yake ya polisi, shahidi alikiri mara kadhaa kuwa maneno hayo hayapo kwenye maelezo yake.

=================



Mhe. Lissu: Naomba sasa shahidi apatiwe kielelezo D10.

Mhe. Lissu: Umeieleza Mahakama kuwa pale kijiweni kuna watu wengi ikiwemo madereva bajaji na wenye maduka ya vitu vya nyumbani


Shahidi wa kificho P7 : Kweli

Mhe. Lissu: Sasa tuoneshe kwenye hicho kielelezo hayo maneno yapo?

Shahidi wa kificho P7 : Hayapo.

Mhe. Lissu: tar. 03/04 mlikuwa mnazungumza mazungumzo ya kawaida na kuna mtu akaibua mazungumzo mengine kuhusu Chadema kuzuia Uchaguzi.

Shahidi wa kificho P7 : ndio

Mhe. Lissu: haya nioneshe yapo wapi?

Shahidi wa kificho P7 : hapa imesema alianzisha lakini mtu yani

Mhe. Lissu: Maneno yapo au hayapo?

Shahidi wa kificho P7 : Hayapo.

Mhe. Lissu: Tena watakinukisha mbaya. Yapo au hayapo kwenye maelezo yako.

Shahidi wa kificho P7 : Watakinukisha.

Mhe. Lissu: swali langu umesema hayo maneno yalisemwa na mtu mmoja?

Shahidi wa kificho P7 : Hapana.

Mhe. Lissu: Ahsante. Sasa umesema pia huyo mtu mmoja akasema Polisi wanaiba kura hata ukienda mahakamani majaji ni vibaraka wa CCM

Shahidi wa kificho P7 : Ni kweli

Mhe. Lissu: Waeleze majaji kama hayo maneno kuhusu majaji yapo?

Shahidi wa kificho P7 : hayapo.

Mhe. Lissu: Je kwenye maelezo yako polisi uliandika kuhusu polisi nao kuiba kura

Shahidi wa kificho P7 : Hayapo.

Mhe. Lissu: Je umetaja tume ya uchaguzi hata mara moja kwenye maelezo yako Polisi?

Shahidi wa kificho P7 : Sijataja.

Mhe. Lissu: Je kwenye maelezo yako umetaja uchaguzi wa mwaka 2024 hata mara moja?

Shahidi wa kificho P7 : Hamna.

Mhe. Lissu: Ulisahau ulichoandika polisi?

Shahidi wa kificho P7 : Nilikuwa naandika maelezo sio kitabu.

Mhe. Lissu: Umesema tukiwa tunaendelea na mabishano nilipata hamasa sasa hayo maneno kuwa ulipata hamasa kama yapo kwenye maelezo yako Polisi.

Shahidi wa kificho P7 : hayapo.

Mhe. Lissu: Unasema uliingia youtube kwa kutumia simu janja. Yako wapi kwenye maelezo yako ya polisi hayo nayo?

Shahidi wa kificho P7 : Niliingia youtube maana yake nilikuwa na simu

Mhe. Lissu: huwezi kuingia kwa kutumia Computer?

Shahidi wa kificho P7 : Mimi sina Computer

Mhe. Lissu: Sasa ndio ujibu swali langu kuwa ulisema uliingia kwa kutumia simu?

Shahidi wa kificho P7 : Sijataja.

Mhe. Lissu: Umesema uliingia kupitia Channel ya Jambo sasa tuoneshe hayo kwenye maelezo yako.

Shahidi wa kificho P7 : Hayapo.

Mhe. Lissu: unasema ulishitakiwa kwa kufanya fujo. Tuoneshe hilo nalo kama lipo?

Shahidi wa kificho P7 : Hayapo.
 
IMG_1558.jpeg
 
Wakuu,

Kwa aliyeelewa maelezo ya shahid naomba anieleweshe. Kajikanyaga mno

Lissu alimtaka shahidi aonyeshe kama baadhi ya kauli alizodai zilisemwa kijiweni kwao ikiwemo madai kuhusu Chadema kuzuia uchaguzi, polisi kuiba kura na majaji kuwa vibaraka wa CCM zilikuwa zimeandikwa kwenye maelezo yake ya polisi, shahidi alikiri mara kadhaa kuwa maneno hayo hayapo kwenye maelezo yake.

=================



Mhe. Lissu: Naomba sasa shahidi apatiwe kielelezo D10.

Mhe. Lissu: Umeieleza Mahakama kuwa pale kijiweni kuna watu wengi ikiwemo madereva bajaji na wenye maduka ya vitu vya nyumbani


Shahidi wa kificho P7 : Kweli

Mhe. Lissu: Sasa tuoneshe kwenye hicho kielelezo hayo maneno yapo?

Shahidi wa kificho P7 : Hayapo.

Mhe. Lissu: tar. 03/04 mlikuwa mnazungumza mazungumzo ya kawaida na kuna mtu akaibua mazungumzo mengine kuhusu Chadema kuzuia Uchaguzi.

Shahidi wa kificho P7 : ndio

Mhe. Lissu: haya nioneshe yapo wapi?

Shahidi wa kificho P7 : hapa imesema alianzisha lakini mtu yani

Mhe. Lissu: Maneno yapo au hayapo?

Shahidi wa kificho P7 : Hayapo.

Mhe. Lissu: Tena watakinukisha mbaya. Yapo au hayapo kwenye maelezo yako.

Shahidi wa kificho P7 : Watakinukisha.

Mhe. Lissu: swali langu umesema hayo maneno yalisemwa na mtu mmoja?

Shahidi wa kificho P7 : Hapana.

Mhe. Lissu: Ahsante. Sasa umesema pia huyo mtu mmoja akasema Polisi wanaiba kura hata ukienda mahakamani majaji ni vibaraka wa CCM

Shahidi wa kificho P7 : Ni kweli

Mhe. Lissu: Waeleze majaji kama hayo maneno kuhusu majaji yapo?

Shahidi wa kificho P7 : hayapo.

Mhe. Lissu: Je kwenye maelezo yako polisi uliandika kuhusu polisi nao kuiba kura

Shahidi wa kificho P7 : Hayapo.

Mhe. Lissu: Je umetaja tume ya uchaguzi hata mara moja kwenye maelezo yako Polisi?

Shahidi wa kificho P7 : Sijataja.

Mhe. Lissu: Je kwenye maelezo yako umetaja uchaguzi wa mwaka 2024 hata mara moja?

Shahidi wa kificho P7 : Hamna.

Mhe. Lissu: Ulisahau ulichoandika polisi?

Shahidi wa kificho P7 : Nilikuwa naandika maelezo sio kitabu.

Mhe. Lissu: Umesema tukiwa tunaendelea na mabishano nilipata hamasa sasa hayo maneno kuwa ulipata hamasa kama yapo kwenye maelezo yako Polisi.

Shahidi wa kificho P7 : hayapo.

Mhe. Lissu: Unasema uliingia youtube kwa kutumia simu janja. Yako wapi kwenye maelezo yako ya polisi hayo nayo?

Shahidi wa kificho P7 : Niliingia youtube maana yake nilikuwa na simu

Mhe. Lissu: huwezi kuingia kwa kutumia Computer?

Shahidi wa kificho P7 : Mimi sina Computer

Mhe. Lissu: Sasa ndio ujibu swali langu kuwa ulisema uliingia kwa kutumia simu?

Shahidi wa kificho P7 : Sijataja.

Mhe. Lissu: Umesema uliingia kupitia Channel ya Jambo sasa tuoneshe hayo kwenye maelezo yako.

Shahidi wa kificho P7 : Hayapo.

Mhe. Lissu: unasema ulishitakiwa kwa kufanya fujo. Tuoneshe hilo nalo kama lipo?

Shahidi wa kificho P7 : Hayapo.
Kifupi mashahidi wote 30 ni sawa na shahidi mmoja.
Kinachoendelea kinaonesha mkakati wa ovyo wenye nia ovu dhidi ya TAL!
 
Wakuu,

Kwa aliyeelewa maelezo ya shahid naomba anieleweshe. Kajikanyaga mno

Lissu alimtaka shahidi aonyeshe kama baadhi ya kauli alizodai zilisemwa kijiweni kwao ikiwemo madai kuhusu Chadema kuzuia uchaguzi, polisi kuiba kura na majaji kuwa vibaraka wa CCM zilikuwa zimeandikwa kwenye maelezo yake ya polisi, shahidi alikiri mara kadhaa kuwa maneno hayo hayapo kwenye maelezo yake.

=================



Mhe. Lissu: Naomba sasa shahidi apatiwe kielelezo D10.

Mhe. Lissu: Umeieleza Mahakama kuwa pale kijiweni kuna watu wengi ikiwemo madereva bajaji na wenye maduka ya vitu vya nyumbani


Shahidi wa kificho P7 : Kweli

Mhe. Lissu: Sasa tuoneshe kwenye hicho kielelezo hayo maneno yapo?

Shahidi wa kificho P7 : Hayapo.

Mhe. Lissu: tar. 03/04 mlikuwa mnazungumza mazungumzo ya kawaida na kuna mtu akaibua mazungumzo mengine kuhusu Chadema kuzuia Uchaguzi.

Shahidi wa kificho P7 : ndio

Mhe. Lissu: haya nioneshe yapo wapi?

Shahidi wa kificho P7 : hapa imesema alianzisha lakini mtu yani

Mhe. Lissu: Maneno yapo au hayapo?

Shahidi wa kificho P7 : Hayapo.

Mhe. Lissu: Tena watakinukisha mbaya. Yapo au hayapo kwenye maelezo yako.

Shahidi wa kificho P7 : Watakinukisha.

Mhe. Lissu: swali langu umesema hayo maneno yalisemwa na mtu mmoja?

Shahidi wa kificho P7 : Hapana.

Mhe. Lissu: Ahsante. Sasa umesema pia huyo mtu mmoja akasema Polisi wanaiba kura hata ukienda mahakamani majaji ni vibaraka wa CCM

Shahidi wa kificho P7 : Ni kweli

Mhe. Lissu: Waeleze majaji kama hayo maneno kuhusu majaji yapo?

Shahidi wa kificho P7 : hayapo.

Mhe. Lissu: Je kwenye maelezo yako polisi uliandika kuhusu polisi nao kuiba kura

Shahidi wa kificho P7 : Hayapo.

Mhe. Lissu: Je umetaja tume ya uchaguzi hata mara moja kwenye maelezo yako Polisi?

Shahidi wa kificho P7 : Sijataja.

Mhe. Lissu: Je kwenye maelezo yako umetaja uchaguzi wa mwaka 2024 hata mara moja?

Shahidi wa kificho P7 : Hamna.

Mhe. Lissu: Ulisahau ulichoandika polisi?

Shahidi wa kificho P7 : Nilikuwa naandika maelezo sio kitabu.

Mhe. Lissu: Umesema tukiwa tunaendelea na mabishano nilipata hamasa sasa hayo maneno kuwa ulipata hamasa kama yapo kwenye maelezo yako Polisi.

Shahidi wa kificho P7 : hayapo.

Mhe. Lissu: Unasema uliingia youtube kwa kutumia simu janja. Yako wapi kwenye maelezo yako ya polisi hayo nayo?

Shahidi wa kificho P7 : Niliingia youtube maana yake nilikuwa na simu

Mhe. Lissu: huwezi kuingia kwa kutumia Computer?

Shahidi wa kificho P7 : Mimi sina Computer

Mhe. Lissu: Sasa ndio ujibu swali langu kuwa ulisema uliingia kwa kutumia simu?

Shahidi wa kificho P7 : Sijataja.

Mhe. Lissu: Umesema uliingia kupitia Channel ya Jambo sasa tuoneshe hayo kwenye maelezo yako.

Shahidi wa kificho P7 : Hayapo.

Mhe. Lissu: unasema ulishitakiwa kwa kufanya fujo. Tuoneshe hilo nalo kama lipo?

Shahidi wa kificho P7 : Hayapo.
Kama hamuelewi maelezo ya mashahidi kufanana katika mazingira ya kupata taarifa ni kwamba, mwisho wa majumuisho ya Jaji mstaafu Chande othmani yaendane na maelezo ya mashahidi wa mashtaka kwamba machafuko ya MO29 yalihamasishwa na kuasisiwa na TAML.

We fikiri, mantiki ya shahidi kusema 'nilihamasika kukinukisha' mbele ya mahakama kuu na akabakia kuwa shahidi ni nini?

Wao kupoteza mashiko ama Lissu kushinda mashahidi hakuwapunguzii chochote, lengo ni kumtua mzigo uliomwelemea mama ili ripoti za Chande zioane na kinachozungumzwa mahakamani.

Hayo mengine kama ushahidi utatupiliwa mbali ni ya kwenu, kikubwa maelezo kutoka mahakamani yawepo ya kusapoti ripoti inayopikwa na tume haramu ya mweshimiwa.
 
Kama hamuelewi maelezo ya mashahidi kufanana katika mazingira ya kupata taarifa ni kwamba, mwisho wa majumuisho ya Jaji mstaafu Chande othmani yaendane na maelezo ya mashahidi wa mashtaka kwamba machafuko ya MO29 yalihamasishwa na kuasisiwa na TAML.

We fikiri, mantiki ya shahidi kusema 'nilihamasika kukinukisha' mbele ya mahakama kuu na akabakia kuwa shahidi ni nini?

Wao kupoteza mashiko ama Lissu kushinda mashahidi hakuwapunguzii chochote, lengo ni kumtua mzigo uliomwelemea mama ili ripoti za Chande zioane na kinachozungumzwa mahakamani.

Hayo mengine kama ushahidi utatupiliwa mbali ni ya kwenu, kikubwa maelezo kutoka mahakamani yawepo ya kusapoti ripoti inayopikwa na tume haramu ya mweshimiwa.
Kwamba TAL alihamasisha wafuasi wake waliokamatwa na mapolisi kwa kuhamasika! Alafu baadae wakageuzwa kuwa mashahidi wa kificho dhidi ya TAL aliyewahamasisha kufanya makosa!

Hapo tayari kuna utata! Jamhuri wamepuyanga! Binafsi naona mashahidi wote ni watuhumiwa ambao walipaswa kuunganishwa na TAL kwenye kesi!
 
Kwamba TAL alihamasisha wafuasi wake waliokamatwa na mapolisi kwa kuhamasika! Alafu baadae wakageuzwa kuwa mashahidi wa kificho dhidi ya TAL aliyewahamasisha kufanya makosa!

Hapo tayari kuna utata! Jamhuri wamepuyanga! Binafsi naona mashahidi wote ni watuhumiwa ambao walipaswa kuunganishwa na TAL kwenye kesi!
Ukweli ndiyo huo uliosema.
Na anawauliza sana hao mashahidi kuhusu hilo.

Cha kujiuliza: ina maana mawakili wa Serikali ni banch la vihiyo watupu?

Hawa wanatafuta vielelezo vya kumbackup Chande kwenye tume ili kumsafisha Samia.

Haiwezekani kesi nzito kama hii halafu kukawa na mawakili vihiyo namna hii.

Hata kesi ikitupiliwa mbali, ushahidi huu dhaifu na ovu, bado unawabeba .

Tusubiri ripoti ya tume ya mchongo itasema nini na sijui kama wataiweka hadharani, maana kote ni moto, wakiisoma
lazima moto utawawakia, wakizima kumbeba Samia, bodi nzima itajivua nguo.
 
Ukweli ndiyo huo uliosema.
Na anawauliza sana hao mashahidi kuhusu hilo.

Cha kujiuliza: ina maana mawakili wa Serikali ni banch la vihiyo watupu?

Hawa wanatafuta vielelezo vya kumbackup Chande kwenye tume ili kumsafisha Samia.

Haiwezekani kesi nzito kama hii halafu kukawa na mawakili vihiyo namna hii.

Hata kesi ikitupiliwa mbali, ushahidi huu dhaifu na ovu, bado unawabeba .

Tusubiri ripoti ya tume ya mchongo itasema nini na sijui kama wataiweka hadharani, maana kote ni moto, wakiisoma
lazima moto utawawakia, wakiima kumbeba Samia, bodi nzima itajivua nguo.
ccm wanafikiri WaTanganyika bado ni vilaza!
 
Ukweli ndiyo huo uliosema.
Na anawauliza sana hao mashahidi kuhusu hilo.

Cha kujiuliza: ina maana mawakili wa Serikali ni banch la vihiyo watupu?

Hawa wanatafuta vielelezo vya kumbackup Chande kwenye tume ili kumsafisha Samia.

Haiwezekani kesi nzito kama hii halafu kukawa na mawakili vihiyo namna hii.

Hata kesi ikitupiliwa mbali, ushahidi huu dhaifu na ovu, bado unawabeba .

Tusubiri ripoti ya tume ya mchongo itasema nini na sijui kama wataiweka hadharani, maana kote ni moto, wakiisoma
lazima moto utawawakia, wakizima kumbeba Samia, bodi nzima itajivua nguo.
Balaa
 
Kama hamuelewi maelezo ya mashahidi kufanana katika mazingira ya kupata taarifa ni kwamba, mwisho wa majumuisho ya Jaji mstaafu Chande othmani yaendane na maelezo ya mashahidi wa mashtaka kwamba machafuko ya MO29 yalihamasishwa na kuasisiwa na TAML.

We fikiri, mantiki ya shahidi kusema 'nilihamasika kukinukisha' mbele ya mahakama kuu na akabakia kuwa shahidi ni nini?

Wao kupoteza mashiko ama Lissu kushinda mashahidi hakuwapunguzii chochote, lengo ni kumtua mzigo uliomwelemea mama ili ripoti za Chande zioane na kinachozungumzwa mahakamani.

Hayo mengine kama ushahidi utatupiliwa mbali ni ya kwenu, kikubwa maelezo kutoka mahakamani yawepo ya kusapoti ripoti inayopikwa na tume haramu ya mweshimiwa.
Great thinking arm chair thinking...NDIO AKILI ZAO ZILIPOISHIA..NDICHO WANACHOPIKA.
 
Mimi sielewewi ina maana tumedumaa au nini shida kwa wasifutilie mbali hiyo kesi maana watu wanaaibika kila kukicha na wao wanaona sawa tu..
 
Back
Top Bottom