Features za kuvutia kwenye simu za Xiaomi

Features za kuvutia kwenye simu za Xiaomi

Ushauri

Samsung Galaxy A51 vs redmi 10c

Ikumbukwe A51 ni model ya 2019

Nimeona kioo Cha redmi Ni kikubwa Ila IPS LCD na Samsung Ni Ni super AMOLED

Processor 10nm vs 6nm ya redmi
Yes, search humuhumu JF kuna thread inahusu kuagiza simu AliExpress, eBay na Amazon.
Watu waliowahi kununua wapo humuhumu jukwaani.
 
Ushauri

Samsung Galaxy A51 vs redmi 10c

Ikumbukwe A51 ni model ya 2019

Nimeona kioo Cha redmi Ni kikubwa Ila IPS LCD na Samsung Ni Ni super AMOLED

Processor 10nm vs 6nm ya redmi
Redmi 10C Ina chipset yenye nguvu kuliko Galaxy A51 pia ina more recent OS otherwise kila sehemu imepitwa
Kiufupi chukua Samsung Galaxy A51. Ina advantages nyingi sana kuliko Redmi 10C kuanzia display, camera, speakers na kila kitu kasoro chipset sanasana.
Hizi simu sio level sawa, A51 ipo juu hilo halina mjadala.
 
Redmi 10C Ina chipset yenye nguvu kuliko Galaxy A51 pia ina more recent OS otherwise kila sehemu imepitwa
Kiufupi chukua Samsung Galaxy A51. Ina advantages nyingi sana kuliko Redmi 10C kuanzia display, camera, speakers na kila kitu kasoro chipset sanasana.
Hizi simu sio level sawa, A51 ipo juu hilo halina mjadala.
Battery? Simu imekaa muda mrefu store. Ni wazi A51 inaeza sumbua

Na vp thamani ya pesa ikumbukwe redmi Ni 330k mpya
 
Battery? Simu imekaa muda mrefu store. Ni wazi A51 inaeza sumbua

Na vp thamani ya pesa ikumbukwe redmi Ni 330k mpya
Kwa 330,000/= kama utaamua kununua simu recent mpya basi Redmi 10C haina mpinzani
Lakini kama umekuta inauzwa bei sawa na A51 mpya zote full box, then chukua Galaxy A51
Utachukua Redmi 10C ikiwa tu unaangalia uwezo wa simu, recent OS na ukaaji wa chaji basi. Redmi 10C ya 4GB RAM ina uwezo mkubwa takribani mara mbili ya Galaxy A51 yenye 4GB RAM.
Otherwise A51 ipo juu kwenye display, camera, speakers,n.k, labda ununue Redmi ambazo zipo level moja na Galaxy A51
 
Xiaomi 12
6.2" Ka simu portable sana
Yaani 6.2" unaita portable?

Hebu tafuta mtu mwenye iphone 12 mini au 13 mini au pixel 4 au 4a... Atleast hawa wakiongea kuhusu portability nawaelewa.

I hate kwanini kila kampuni inakimbilia kwenye masimu makubwa.

Natumia 6.4" tena full screen naana ina pop up camera ila naona ni lisimu likubwa sana.
 
Yaani 6.2" unaita portable?

Hebu tafuta mtu mwenye iphone 12 mini au 13 mini au pixel 4 au 4a... Atleast hawa wakiongea kuhusu portability nawaelewa.

I hate kwanini kila kampuni inakimbilia kwenye masimu makubwa.

Natumia 6.4" tena full screen naana ina pop up camera ila naona ni lisimu likubwa sana.
Nilikuta watu wanalalamika kuwa Xiaomi 12 ni ndogo sana kwa hiyo watajichanga walau wanunue Xiaomi 13
Xiaomi 12 ina 6.28" na Xiaomi 13 ina 6.36" ila utofauti upo mkubwa tu.
Kama unataka simu chini ya 6inches then Xiaomi has nothing to offer you for now but other brands have.
 
Yaani 6.2" unaita portable?

Hebu tafuta mtu mwenye iphone 12 mini au 13 mini au pixel 4 au 4a... Atleast hawa wakiongea kuhusu portability nawaelewa.

I hate kwanini kila kampuni inakimbilia kwenye masimu makubwa.

Natumia 6.4" tena full screen naana ina pop up camera ila naona ni lisimu likubwa sana.
Inaweza ikawa 6.4" screen but simu ikawa na urefu wa 160 mm, hiyo ni size kubwa sana.
 
Kwa 330,000/= kama utaamua kununua simu recent mpya basi Redmi 10C haina mpinzani
Lakini kama umekuta inauzwa bei sawa na A51 mpya zote full box, then chukua Galaxy A51
Utachukua Redmi 10C ikiwa tu unaangalia uwezo wa simu, recent OS na ukaaji wa chaji basi. Redmi 10C ya 4GB RAM ina uwezo mkubwa takribani mara mbili ya Galaxy A51 yenye 4GB RAM.
Otherwise A51 ipo juu kwenye display, camera, speakers,n.k, labda ununue Redmi ambazo zipo level moja na Galaxy A51
Option zilikuwa hizo mbili

Nimekuta A51 nyingne clean as new
Je tuki compare A23,A33 na 10c hapo vp zote zimetoka March last year

A23 Ina chipset sawa na 10c ila according to review za YouTube 10c iko fasta than A23
 
Option zilikuwa hizo mbili

Nimekuta A51 nyingne clean as new
Je tuki compare A23,A33 na 10c hapo vp zote zimetoka March last year

A23 Ina chipset sawa na 10c ila according to review za YouTube 10c iko fasta than A23
Yes Redmi 10C ipo faster than Galaxy A23 licha ya kutumia chipset sawa kwa sababu software ya Redmi 10C ni light kuliko ya Galaxy A23
Lakini Samsung Galaxy A23 sio level moja na Redmi 10C bali ni level moja na Redmi Note 11 na simu zote zinatumia Snapdragon 680.
I mean, kwenye battery na peformance Redmi 10C anaweza kushindana na hizi simu za laki 5 lakini sehemu nyingine bado Redmi 10C ipo low ranked. Camera labda utumie GCAM kwa Redmi 10C kidogo itakuwa na afadhali lakini bado haiwezi kuwa Kali kama A23 au Redmi Note 11.
I mean Galaxy A23 ni better than Redmi 10C na Redmi Note 11 ni better than all.
 
Yes Redmi 10C ipo faster than Galaxy A23 licha ya kutumia chipset sawa kwa sababu software ya Redmi 10C ni light kuliko ya Galaxy A23
Lakini Samsung Galaxy A23 sio level moja na Redmi 10C bali ni level moja na Redmi Note 11 na simu zote zinatumia Snapdragon 680.
I mean, kwenye battery na peformance Redmi 10C anaweza kushindana na hizi simu za laki 5 lakini sehemu nyingine bado Redmi 10C ipo low ranked. Camera labda utumie GCAM kwa Redmi 10C kidogo itakuwa na afadhali lakini bado haiwezi kuwa Kali kama A23 au Redmi Note 11.
I mean Galaxy A23 ni better than Redmi 10C na Redmi Note 11 ni better than all.
Me sio mpiga picha Sana ,, I mean hata camera ya Tecno F1 kwngu Ni nzuri Sana


Nimeambatanisha na picha za f1
IMG_20230209_155116.jpg

NB: picha Ni camera ya kawaida haijasetiwa kitu chochote


Hivo nahisi camera sio kipaumbele changing
Battery Ni muhimu na performance
 

Attachments

  • IMG_20230209_155136.jpg
    IMG_20230209_155136.jpg
    286.1 KB · Views: 36
  • IMG_20230209_155147.jpg
    IMG_20230209_155147.jpg
    327.4 KB · Views: 39
Me sio mpiga picha Sana ,, I mean hata camera ya Tecno F1 kwngu Ni nzuri Sana


Nimeambatanisha na picha za f1View attachment 2536850
NB: picha Ni camera ya kawaida haijasetiwa kitu chochote


Hivo nahisi camera sio kipaumbele changing
Battery Ni muhimu na performance
Basi Redmi 10C itakufaa
Ingawa display yake ni 720p na refresh rate ni 60Hz
Utachukua Redmi 10C kama unazingatia zaidi
  • Performance and gaming
  • Battery
  • Ukubwa wa kioo
  • More recent OS
  • Good looking phone at cheap price, etc.
Kwa 330K Redmi 10C ndiyo inafaa zaidi
 
Back
Top Bottom