Features za kuvutia kwenye simu za Xiaomi

Features za kuvutia kwenye simu za Xiaomi

Hii ni ujinga means ku take a screenshot Hadi ushike simu na mikono miwili au uweke chini na kila mtu ajue una piga screenshot

Ya kwangu uki pull down kwenye system bar utaona una touch inajipiga screenshot chap
Nadhani hujaelewa hiyo three-finger slide screenshots ikoje. Unatumia vidole vyako vitatu kwa pamoja kuslide down mara moja tu kwenye display kisha simu inascreenshot.
Kama hujaielewa hiyo method, hata hiyo uliyoitaja hapo Xiaomi anayo pia. Unaweza kuscreenshot kupitia Notification panel. Hii ipo karibia kwenye kila simu za siku hizi.
Screenshot_20230302-135842~2.jpg
 
Seller gani unamtumia Kama unaweza screenshot huwa naagiza Sana vitu huko saket mbali mbali simu sijawahi
Nitakutumia screenshot, lakini kupata hizo devices kwa bei hizo ni rahisi sana. Ukiingia AliExpress fanya hivi
Search jina la simu kisha zitakuja hizo simu
Kwenye sehemu ya kusort imeandikwa "Best matches" utaiona hapohapo baada ya kusearch. Iguse hiyo "Best matches" then sort by: Orders
Utaziona hizo simu kutoka kwa store zilizouza sana. Kuna YouGeek store na Goldway: hawa ndio wanauza sana hizo Xiaomi na positive reviews ni nying. Bei zao ndio hizo nilizokutajia.

Ingawa sijawahi kuagiza Xiaomi kutoka AliExpress ila tu nilikuwa na mpango huo
 
IMG_20230302_141212.jpg


Simu yangu ni Xiaomi, nikimpigia mtu au nikipiga inarecord maongezi yetu automatically.

Hii feature naipenda sana.

Simu yangu ina Chinese Rom.

Kila nikiwaza kubadili simu, sioni simu ya kununua.

Asus Zenfone zikianza kushuka bei nitanunua napenda sana Compact phone. I admire Zenfone 8 na 9.

Xiaomi masimu yao.mengi makubwa, I hate this.
 
View attachment 2534743

Simu yangu ni Xiaomi, nikimpigia mtu au nikipiga inarecord maongezi yetu automatically.

Hii feature naipenda sana.

Simu yangu ina Chinese Rom.

Kila nikiwaza kubadili simu, sioni simu ya kununua.

Asus Zenfone zikianza kushuka bei nitanunua napenda sana Compact phone. I admire Zenfone 8 na 9.

Xiaomi masimu yao.mengi makubwa, I hate this.
Hio feature yako ulioipenda ipo kwa Tecno F1 ya 2018 kwa Sasa used hata 60k to 80k unapata
 
Nitakutumia screenshot, lakini kupata hizo devices kwa bei hizo ni rahisi sana. Ukiingia AliExpress fanya hivi
Search jina la simu kisha zitakuja hizo simu
Kwenye sehemu ya kusort imeandikwa "Best matches" utaiona hapohapo baada ya kusearch. Iguse hiyo "Best matches" then sort by: Orders
Utaziona hizo simu kutoka kwa store zilizouza sana. Kuna YouGeek store na Goldway: hawa ndio wanauza sana hizo Xiaomi na positive reviews ni nying. Bei zao ndio hizo nilizokutajia.

Ingawa sijawahi kuagiza Xiaomi kutoka AliExpress ila tu nilikuwa na mpango huo
Aah kumbe hujawahi
 
View attachment 2534743

Simu yangu ni Xiaomi, nikimpigia mtu au nikipiga inarecord maongezi yetu automatically.

Hii feature naipenda sana.

Simu yangu ina Chinese Rom.

Kila nikiwaza kubadili simu, sioni simu ya kununua.

Asus Zenfone zikianza kushuka bei nitanunua napenda sana Compact phone. I admire Zenfone 8 na 9.

Xiaomi masimu yao.mengi makubwa, I hate this.
Xiaomi anazo compact phones pia. Labda ungesema bajeti yako then tukuambie ni simu gani ndogo ya Xiaomi unaweza ipata kwa bei hiyo.

Ingawa mimi napenda masimu makubwa ila Xiaomi ndogo pia zipo.
 
Nitakutumia screenshot, lakini kupata hizo devices kwa bei hizo ni rahisi sana. Ukiingia AliExpress fanya hivi
Search jina la simu kisha zitakuja hizo simu
Kwenye sehemu ya kusort imeandikwa "Best matches" utaiona hapohapo baada ya kusearch. Iguse hiyo "Best matches" then sort by: Orders
Utaziona hizo simu kutoka kwa store zilizouza sana. Kuna YouGeek store na Goldway: hawa ndio wanauza sana hizo Xiaomi na positive reviews ni nying. Bei zao ndio hizo nilizokutajia.

Ingawa sijawahi kuagiza Xiaomi kutoka AliExpress ila tu nilikuwa na mpango huo
Mkuu redmi note 11 naambiwa ile fast charge (33w) simu inapat sana moto ukiwa unachaji, vp kuna ukweli
 
Xiaomi anazo compact phones pia. Labda ungesema bajeti yako then tukuambie ni simu gani ndogo ya Xiaomi unaweza ipata kwa bei hiyo.

Ingawa mimi napenda masimu makubwa ila Xiaomi ndogo pia zipo.
Hahah above 5.5' hiyo haiwezi kuwa compact.

Nimeingia GSM arena nimegoogle Xiaomi zenye between 4.9' to 5.5' zimekuja simu 4 tu, Hainifai hata moja.

Screenshot_2023-03-02-16-02-00-417_com.android.chrome.jpg
 
Xiaomi anazo compact phones pia. Labda ungesema bajeti yako then tukuambie ni simu gani ndogo ya Xiaomi unaweza ipata kwa bei hiyo.

Ingawa mimi napenda masimu makubwa ila Xiaomi ndogo pia zipo.
Hakuna hata Xiaomi ya maana below 6.1 inch...
 
Mkuu redmi note 11 naambiwa ile fast charge (33w) simu inapat sana moto ukiwa unachaji, vp kuna ukweli

Mimi nina 27W ambazo zinakuja na Redmi k20 pro au Mi 9t pro.

Joto ni la kawaida, Labda kwa sababu nacharge simu huku siitumii.

Kutenga saa moja kwa ajili ya kucharge simu siyo kitu kigumu kwangu.
 
Hahah above 5.5' hiyo haiwezi kuwa compact.

Nimeingia GSM arena nimegoogle Xiaomi zenye between 4.9' to 5.5' zimekuja simu 4 tu, Hainifai hata moja.

View attachment 2534872
Sikujua kama unaongelea simu ndogo kiasi hicho.
Xiaomi 13 ni compact phone ila ina 6.36inches
Kumbe wewe unataka 5.5inches Basi nenda tu brand nyingine, huku tuachie sisi
 
Hakuna hata Xiaomi ya maana below 6.1 inch...
Screenshot_20230302-164525~2.jpg

Hapo juu kushoto ni Xiaomi 12 Pro na kulia ni Xiaomi 12.
Kwa sasa ni kweli hakuna Xiaomi mpya utapata below 6.1" ndio nakuja kuona kweli tunatofautiana. Hii Xiaomi 12 ina 6.28 inches lakini naiona ndogo balaa, ila wewe bado unataka ndogo zaidi chini ya hapo. Kwa kuwa ni mapenzi yako basi ni vizuri utafute kwenye brand nyingine kama tu ulivyosema. Mwanzo ulipokuwa unasema unataka simu ndogo, sikuelewa udogo gani.
Mimi kutumia simu ndogo kama hii Xiaomi 12 sipendi
Screenshot_20230302-164628~2.jpg
Screenshot_20230302-164651~2.jpg
 
Mkuu redmi note 11 naambiwa ile fast charge (33w) simu inapat sana moto ukiwa unachaji, vp kuna ukweli
Nimesoma reviews kadhaa za Redmi Note 11 sijaona hata moja iliyoongelea shida hiyo
Ikiwa wameweza kucontrol 120W kwenye flagship zao zisifanye simu i-overheat sidhani kama watashindwa kwa simu zao zenye 33W
 
Back
Top Bottom