Features za kuvutia kwenye simu za Xiaomi

Features za kuvutia kwenye simu za Xiaomi

Umesahau features ya ukiwasha tochi kuzima una bonyeza power button Tu pia, pia data sio lazima uzime ikiwa unatumia itajiwasha na usipotumia itazijima, vile vile Sim nyingi za xiaomi zina infrared kukuwezesha kutumia kama remote. Second space Ndio mzigo mtamu hasa km simu yako hushikwa shikwa ukiwa kwenye xiaomi hilo wamezingatia unaweka vitu vyako tofauti na first second unatumia application tofaut Na second space yaan haziingiliani Hata msg iingie first second wakati huo wewe upo second itakujulisha tu ujumbe umeingia na huwezi kuingia mpaka uweke password yake
Second Space ni unyama sana
 
Dah, natumia Redmi 11 zaidi ya miezi 7 lkn sikuwahi kujua ina mambo mazuri hivi.

Pia kama kuna anayefahamu namna ya kupata camera nzuri kwa hizi simu atuelimishe tafadhali.

Thanks for sharing.
Weka Gcam
 
Dah, natumia Redmi 11 zaidi ya miezi 7 lkn sikuwahi kujua ina mambo mazuri hivi.

Pia kama kuna anayefahamu namna ya kupata camera nzuri kwa hizi simu atuelimishe tafadhali.

Thanks for sharing.
@kcamp
Huyu ndio naona anawatumia watu link ya GCAM ukimtajia aina ya simu unayotumia. GCAM ya Redmi Note 11 ipo mwombe link
Au unaweza kudownload mwenyewe kupitia website ya XDA Developers
 
Features nyingi hapa zipo MIUI 12 na kuendelea. Kwa hiyo ukinunua simu kama Redmi Note 10 kwenda juu, Xiaomi Mi 11 kwenda juu, au simu nyingi tu za Xiaomi zenye hiyo MIUI 12 kupanda utakuta hizo features.
Redmi Note 10 ni around 450000/=, Simu za mamilioni zina features nyingi zaidi.
Pia unapaswa kujua features nyingi zipo kwenye software kwa hiyo Xiaomi nyingi sana katika bei tofauti tofauti zina hizi features.
6.9 au 7inch display bajet isivuke laki 6 je simu ya hivyo ipo?
 
Bajeti isivuke laki 6
Kwa Bongo hii hapo chukua Redmi Note 10 Pro. Lakini nikukumbushe tu, sio 6.9inches wala 7inches ni 6.67inches. Kwa sasa sijaona Xiaomi yenye 6.9inches
Lakini hii simu Redmi Note 10 Pro ni unyama sana na kwa 550,000 hadi laki 6 unapata ya 6GB RAM na 128GB storage. Maduka mengine unapata 4GB RAM na 128GB storage. Kwa bei rahisi zaidi agiza China
Lakini kwa bei hiyo hii simu iko poa kuanzia display, camera, speakers, chipset, performance na kila kitu.
Redmi Note 10 Pro hii hapa
Screenshot_20230301-195527~2.jpg
 
Three-finger slide screenshots
Hii ni feature inayokuwezesha kupiga screenshots kwa kuslide down vidole vyako vitatu kutoka juu ya display hadi chini. Hii ni rahisi zaidi kuliko kutumia volume down and power button kupiga screenshots.
Hii ni ujinga means ku take a screenshot Hadi ushike simu na mikono miwili au uweke chini na kila mtu ajue una piga screenshot

Ya kwangu uki pull down kwenye system bar utaona una touch inajipiga screenshot chap
 
9. Second Space
Hii ni feature inayokuongezea phone layout nyingine kwenye simu yako. Feature hii ni nzuri sana, ni kama unatumia simu mbili tofauti ndani ya simu moja. Unaweza kuitumia kutenganisha apps zako za ofisini, au za entertainment na kuzitumia kupitia Second Space ambayo itahitaji password
emoji360.png
yako ili kuingia Second space.
Screenshot_20230222-170302.jpg
Nimetumia kwa Lumia 2013
 
Hizi ni features nyingine nzuri zinazopatikana kwenye simu za Xiaomi
11. Wild Notification Alerts
Simu za Xiaomi zinakuja na Notification sounds za kutosha ikiwemo zile sauti zinazopatikana msituni au mbugani. Hivyo hii ni part ya software na inakuwezesha kutumia hizo sounds kwa Notification Alerts
View attachment 2526600View attachment 2526601

12. Sound Assistant
Hii ni feature inayokuwezesha kusikiliza sauti mbili kwa wakati mmoja lakini katika frequency tofauti. Mitandao kama Instagram inaonesha picha na video. Ukifika kwenye video ukiiplay kama ulikuwa unasikiliza mziki basi mziki wako unakata hapohapo ili kuruhusu video ya Instagram iplay. Kwenye simu za Xiaomi unaweza kupunguza sauti ya Instagram na kuongeza sauti ya mziki wako hadi mwisho bila ku-interfere sauti ya Instagram View attachment 2526608

13. Reading Mode
Feature hii inasaidia kulinda macho yako ikiwa unasoma vitu kwenye simu yako. Kazi ya Reading mode ni ku-reduce blue light, using warmer colors na ku-add paper-like texture kwenye simu yako. Unaweza kuset Reading Mode iwe inaswitch on automatically
View attachment 2526612

14. Dual Apps
Hii ni feature inayokuwezesha kutengeneza copy ya application za simu yako na kutumia app hizo kivyake. Kwa mfano unaweza kutengeneza copy ya app kama Facebook, WhatsApp, Instagram na Jamii Forums na kuzitumia apps hizo kivyake tena kwa kutumia account tofauti tofauti.
NB: Clone ya application haiwezi ku-interfere original applicationsView attachment 2526614View attachment 2526615View attachment 2526616

15. Video Tool box
Ukiwa unatumia YouTube au application nyingine za kustream video, ukitoa tu kurudi homescreen na video playback inastop. Video tool box inakuwezesha hata kuzima simu yako wakati video inaplay YouTube,. na bado ukawa unasikia sauti bila video. Kwa hiyo unaweza kuendelea kusikiliza kinachoongelewa YouTube bila hata kuwa active ndani ya YouTube. Unaweza hata kuingia Jamii Forums huku sauti ya video ya YouTube inaendelea kupiga.View attachment 2526621View attachment 2526622View attachment 2526623

16. Floating Windows
Software ya MIUI inakuruhusu kufungua apps kwenye floating Windows. Hii ni moja ya feature nzuri sana. Hizo floating windows unaweza kuzi-minimize, kuzi-expand au hata kuzidisable kwa kutumia simple gesturesView attachment 2526625View attachment 2526626View attachment 2526627View attachment 2526628

17. Split Notification Shade
Ukiswipe down kutoka juu kona ya kushoto kushuka chini simu inakuletea Notification bar na ukiswipe down kutoka juu kulia kushuka chini simu inakuletea Mi Control Centre.
Hii ni feature ya kipekee sana na iko tofauti na simu nyingine za Android. Pia unaweza kuiondoa na kuwekea ya kawaida tu kama simu nyingine za Android.View attachment 2526631View attachment 2526632

18. Game Turbo
Hii ni feature ambayo kazi yake ni kuboost performance wakati wa kucheza magemu. Inalazimisha simu kutumia kiasi kikubwa zaidi cha RAM kadri inavyowezekana na kukupa smooth gaming experience katika graphics nzuri.View attachment 2526634View attachment 2526648

19. Memory Extension
Hii ni feature ya MIUI 13 and above ambayo inakuruhusu kuexpand RAM ya simu yako. Kama simu yako ina storage ya 64GB unaweza kuexpand 1GB RAM tu na kama simu yako ina storage ya 128GB and above unaweza kuexpand 2GB hadi 3GB RAMView attachment 2526637

20. Themes and Always on display
View attachment 2526641View attachment 2526642View attachment 2526643

21. Side Bar
Feature hii inakuwezesha kuaccess your favorite apps kwa kuhold au kutap mara mbili kwenye edge ya simu yako.View attachment 2526645

22. Security App
Simu za Xiaomi pia zina security app ambayo kazi yake kubwa ni ku-scan simu yako na kila app utakayodownload kama ina virus au malware. Pia inaweza kufanya vitu vingi kama ku-clear RAM, kumanage Blacklist yako, na mambo kibaoView attachment 2526647

Kwenye simu za Xiaomi bado kuna features nyingi sana, na siku nyingine nitakuja kuendelea kuzitaja kwenye hiihii thread. Siku nyingine pia nitataja features za kwenye simu za Samsung.
Ikiwa unatumia simu ya Xiaomi halafu huzijui features zake basi hizo nimekutajia anza kujaribu kutumia ulizozipenda
NB: Features zinategemea na MIUI version unayotumia na simu unayotumia. Features nyingi zinapatikana kwenye more recent MIUI versions na kwenye simu za chini kama Redmi 9A kuna features nyingi unaweza usizipate.
Nitaongezea features nyingine soon.
Naomba features za 10c redmi au xiaomi gani inaweza patikana kwa 300k Hadi 320 nzuri
 
Umesahau features ya ukiwasha tochi kuzima una bonyeza power button Tu pia, pia data sio lazima uzime ikiwa unatumia itajiwasha na usipotumia itazijima, vile vile Sim nyingi za xiaomi zina infrared kukuwezesha kutumia kama remote. Second space Ndio mzigo mtamu hasa km simu yako hushikwa shikwa ukiwa kwenye xiaomi hilo wamezingatia unaweka vitu vyako tofauti na first second unatumia application tofaut Na second space yaan haziingiliani Hata msg iingie first second wakati huo wewe upo second itakujulisha tu ujumbe umeingia na huwezi kuingia mpaka uweke password yake
Tumetumia kwenye Lumia 2013
 
Bei gani huko, naogopa kwa ajili naweza pata refurbished
No, unapata mpya kabisa full box
*Xiaomi Redmi Note 10 5G (4GB RAM/ 128GB ROM) kwa TSh 320,000/= plus 27000/= ya usafiri so jumla ni around 357,000/= Pia kuna
*Xiaomi Poco M5 around 320,000/= kwa 4GB RAM na 64GB ROM
  • Kuna Xiaomi Redmi 10 pia kwa around 315,000/= ukinunua 4GB/128GB
  • Kuna Xiaomi Redmi Note 11 kwa 369,000/= version ya 4GB RAM/ 64GB ROM
  • Kuna Xiaomi Poco M5s kwa TSh 369,000/= pia
  • Kuna Xiaomi Redmi 9T kwa 267,000/=

Zote hizo unazipata AliExpress kwa bei hiyo zikiwa mpya full box na gharama ya usafiri haizidi elfu 30.
Hapa Bongo simu mpya nzuri kwa around laki 3 ni Redmi 10C kwa sababu ya chipset ya Qualcomm Snapdragon 680 na inasupport GCAM kwa hiyo unaweza kuitumia kuongeza ubora wa kamera.
 
No, unapata mpya kabisa full box
*Xiaomi Redmi Note 10 5G (4GB RAM/ 128GB ROM) kwa TSh 320,000/= plus 27000/= ya usafiri so jumla ni around 357,000/= Pia kuna
*Xiaomi Poco M5 around 320,000/= kwa 4GB RAM na 64GB ROM
  • Kuna Xiaomi Redmi 10 pia kwa around 315,000/= ukinunua 4GB/128GB
  • Kuna Xiaomi Redmi Note 11 kwa 369,000/= version ya 4GB RAM/ 64GB ROM
  • Kuna Xiaomi Poco M5s kwa TSh 369,000/= pia
  • Kuna Xiaomi Redmi 9T kwa 267,000/=

Zote hizo unazipata AliExpress kwa bei hiyo zikiwa mpya full box na gharama ya usafiri haizidi elfu 30.
Hapa Bongo simu mpya nzuri kwa around laki 3 ni Redmi 10C kwa sababu ya chipset ya Qualcomm Snapdragon 680 na inasupport GCAM kwa hiyo unaweza kuitumia kuongeza ubora wa kamera.
Seller gani unamtumia Kama unaweza screenshot huwa naagiza Sana vitu huko saket mbali mbali simu sijawahi
 
Back
Top Bottom