Yupo Sahihi
Dini inakataza mapenzi ya jinsia moja, ila Tanzania haiongozwi kwa sheria za dini, ni secular country
Kama hao watu wanafanya wenyewe huko sirini kwao huko, kuwafuatilia kisha uwafunge itakua hai make sense kisheria
Sasa mtu akiwa accused anafanya mapenzi kwa njia hiyo (kama alivyotaja Dudubaya) mtaenda kumpima ili mumfunge?
Itakua kitu cha kudhalilishana sana.....as long as wanafanya kwa hiyari yao bana, hayo ni ya kwao, sisi tuadhibu wanaobaka, wanaotembea na wanafunzi, ama kulawiti watoto
Wanaotakiwa tuwadhibiti ni hao wa instagram, maana mambo mengine ni taboo hata kwa mtu usiye na dini
Japo hili kuwaingia Watanzania wengi ni ngumu sana, sababu dini imechukua nafasi kubwa sana katika maisha ya wa Tz