Nimefundishwa na wazazi wako. LGBTMnafiki mkubwa wewe huna la kumtetea huyo bora ukae kimya.
Nimefundishwa na wazazi wako. LGBTMnafiki mkubwa wewe huna la kumtetea huyo bora ukae kimya.
Hawa watu ni wapuuzi sana.Sielewi kama kuna kitu serikali inaweza amua ikashindwa. Huyo anayelilia iende bungeni hana lolote la maana anaweza badilisha huko bungeni. Kama sheria ya mafao imepita huko bungeni na ni unyonyaji kwa wananchi hii ingeshindwa nini kupita?Kama kila sheria inayopelekwa huko bungeni ni lzm ipite kuna umuhim gani wa kujadl kitu ambacho tayar kina majibu?Magufuli ana nia njema kabisa , kafanya haya kwa dhumuni la kuwaletea watu maendeleo na kuinua vipato vya wananchi. hata mlalamike kiasi gani, Magufuli katatua tatizo ambalo kimsingi lilikuwa kubwa. nyie mnaosema Magufuli kavunja sheria, hivi mnadhani Rais Magufuli akipeleka muswada huo wa marekebisho wa sheria bungeni , hautapita kuwa sheria? ?magufuli alichofanya ni kupunguza mchakato wa mabadiliko hayo ambayo ungegubikwa na rushwa na ufisadi
Kila kituTatizo kajigeuza kuwa ndie katiba ya nchi.
Kuna taratibu za kuendesha nchi na ndio maana kuna katiba na Legislative Acts, kanuni nk. Hivyo vyote haviwezi kuwa compromised tukatumia hizo mnazoita busara za mtu mmoja na ndio maana kunakuwa na Checks and Balances.Huyu dada kuna kitu hakipo sawasawa kichwani. Fatilieni maisha yake mtanielewa. Hapa yeye haoni kuwa jambo hili ni kwa maslahi mapana ya nchi yetu.
Hata kama mtu humpendi hekima yako itapimwa pale utakapoona jambo lina manufaa kwa Tz ukapongeza au kama kiburi ni kikubwa kaa kimya.
Walamba viatu vya mabeberu tunawajua hamtaikwamisha Tanzania Mpya. Mwacheni Rais Magufuli afanye kazi. Wanyonge tunamuelewa. Wewe umekulia Ikulu Znz umesoma shule za nje kwa mabeberu; hujui shida yoyote ya mtu mnyonge leo utamteteaje?. Hebu tupishe ukooo..!
"kwa niaba ya" ndio cha maana!hujanielewa vizuri niliposema serikali si mtu namaanisha kuwa serikali ni uwakilishi wa kundi la watu na si mtu kama fatuma karume mwenyewe ila mtu ni serikali kama alivyofanya Lugola. lugola kasimama kwa niaba ya serikali ila fatuma kasimama yeye mwenyewe.
Mwambien atulie,rais anajua anachokifanya
Mods tunaomba muweke kitufe cha dislike nilikua nataka nidslike nimeshindwaHuyu dada kuna kitu hakipo sawasawa kichwani. Fatilieni maisha yake mtanielewa. Hapa yeye haoni kuwa jambo hili ni kwa maslahi mapana ya nchi yetu.
Hata kama mtu humpendi hekima yako itapimwa pale utakapoona jambo lina manufaa kwa Tz ukapongeza au kama kiburi ni kikubwa kaa kimya.
Walamba viatu vya mabeberu tunawajua hamtaikwamisha Tanzania Mpya. Mwacheni Rais Magufuli afanye kazi. Wanyonge tunamuelewa. Wewe umekulia Ikulu Znz umesoma shule za nje kwa mabeberu; hujui shida yoyote ya mtu mnyonge leo utamteteaje?. Hebu tupishe ukooo..!
Acha mihemuko mkuu.Jibu hoja.Kwanini Jiwe na serikali yake wasiandae mswada wa mabadiliko wa hiyo sheria na kuipeleka bungeni badala yake anatafuta shortcuts?Huyu dada kuna kitu hakipo sawasawa kichwani. Fatilieni maisha yake mtanielewa. Hapa yeye haoni kuwa jambo hili ni kwa maslahi mapana ya nchi yetu.
Hata kama mtu humpendi hekima yako itapimwa pale utakapoona jambo lina manufaa kwa Tz ukapongeza au kama kiburi ni kikubwa kaa kimya.
Walamba viatu vya mabeberu tunawajua hamtaikwamisha Tanzania Mpya. Mwacheni Rais Magufuli afanye kazi. Wanyonge tunamuelewa. Wewe umekulia Ikulu Znz umesoma shule za nje kwa mabeberu; hujui shida yoyote ya mtu mnyonge leo utamteteaje?. Hebu tupishe ukooo..!
Mimi nilisikiliza rais vizuri kwenye ufunguzi wa mkutano wa jana na sikuona wala kusikia mahala popote pale ambapo rais amesema au ku-mply kuwa anataka kutoza kodi.Hayo ni maelezo ya Raisi wa TLS kupitia mtandao wa twitter ambapo ameweka/ameambatanisha na kifungu husika cha katika ku-support maelezo yake.
Tweet yake inasomeka hivi:
Ibara 138(1) ya Katiba inasema hakuna kodi yeyote itayetozwa bila ya kupitishwa kwa mujib wa sheria iliopitishwa na Bunge au kwa mujib wa taratibu ya ya sheria iliyopitishwa na Bunge. Rais hana mamlaka kutuamulia kodi yetu hata kama anaipunguzi
@MagufuliJP . Linda Katiba please.
Tuishi kama tumetoka vitan au tumepata uhuru 2015?Katiba halali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iko likizo hadi Jiwe atapoondoka madarakani.
Tuko kwenye kipindi cha mpito kwa miaka 2 hadi 7 ijayo....tujifunze kuishi bila katiba kwa kipindi hiki.
Ngoja niigeuze upside down, halafu niisome!Hayo ni maelezo ya Raisi wa TLS kupitia mtandao wa twitter ambapo ameweka/ameambatanisha na kifungu husika cha katika ku-support maelezo yake.
Tweet yake inasomeka hivi:
Ibara 138(1) ya Katiba inasema hakuna kodi yeyote itayetozwa bila ya kupitishwa kwa mujib wa sheria iliopitishwa na Bunge au kwa mujib wa taratibu ya ya sheria iliyopitishwa na Bunge. Rais hana mamlaka kutuamulia kodi yetu hata kama anaipunguzi
@MagufuliJP . Linda Katiba please.
Sasa ameamua auze na vitambulisho.. Biashara IkuluTatizo kajigeuza kuwa ndie katiba ya nchi.
Kama akipunguza na kutoa ahueni kwa wananchi tutamshukuru na kumuunga mkono, tunachohitaji ni maisha nafuu, tunamruhusu aamue tu.
Bunge lenyewe ndo hili lililopitisha 25% mafao kwa waastafu, si afadhali aamue tu mwennyewe, kama wabunge hawapo kutetea wananchi kwa nn tuwaamini?
Tuacheni propaganda watanzania tunahitaji kupata maisha nafuu, hatuhitaji kufahamu nani kaamua so far wananchi wanafaidi.
Siku hizi umeachana na da'Mange kasema umerukia kwa da'Fatma aka shangazi, ha ha ha.Huna hoja kaa kimya!!
Hapo sivyo mkuu, mtu akienda kinyume na katiba ni dalili mbaya kwa mustakabari wa taifa.Mwambien atulie,rais anajua anachokifanya