Fatma Karume: Hakuna Utamaduni wa Kitanzania bali kuna Utamaduni wa Kitanganyika na Kizanzibari hivyo kwenye suala la lugha tuvumiliane!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,036
142,131
Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema kwa Tanzania ni vigumu kuipata Lugha za Staha kwa sababu kuna tamaduni nyingi tofauti tofauti

Fatma amesema Kimsingi hakunaga Utamaduni wa Mtanzania kwa sababu Utaifa ni Tanganyika na Zanzibar

Jambo la muhimu kwenye hizi lugha ni Viongozi kuwa wavumilivu kama wenzao wa Marekani

Fatma alikuwa akihojiwa na Masoud Kipanya na Siza wa Clouds Media
 
Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema kwa Tanzania ni vigumu kuipata Lugha za Staha kwa sababu kuna tamaduni nyingi tofauti tofauti

Fatma amesema Kimsingi hakunaga Utamaduni wa Mtanzania kwa sababu Utaifa ni Tanganyika na Zanzibar

Jambo la muhimu kwenye hizi lugha ni Viongozi kuwa wavumilivu kama wenzao wa Marekani

Fatma alikuwa akihojiwa na Masoud Kipanya na Siza wa Clouds Media
Utamaduni wa Kitanganyika na Kizanzibar? Mwisho mtasema hakuna utamaduni wa Kitanganyika bali wa Kichaga, Kipare, Kimakonde, mwisho hata utamaduni wa Kimakonde nao utagawanyika kwenye koo, mwisho hupati utamaduni wowote. Hii kugawa gawa maeneo tutajikuta hatuna Tanzania.
 
Utamaduni wa Kitanganyika na Kizanzibar? Mwisho mtasema hakuna utamaduni wa Kitanganyika bali wa Kichaga, Kipare, Kimakonde, mwisho hata utamaduni wa Kimakonde nao utagawanyika kwenye koo, mwisho hupati utamaduni wowote. Hii kugawa gawa maeneo tutajikuta hatuna Tanzania.
Heri Tanzania ijifie tumewachoka Wazanzibari!
 
Lugha za matusi ni dalili za watu wasiostaarabika , siamini watu kama hao wanaweza kuwa viongozi Bora, kama mtu ana guts za kitukana viongozi akiwa yeye kiongozi SI atawatukana wananchi?
 
Utamaduni wa Kitanganyika na Kizanzibar? Mwisho mtasema hakuna utamaduni wa Kitanganyika bali wa Kichaga, Kipare, Kimakonde, mwisho hata utamaduni wa Kimakonde nao utagawanyika kwenye koo, mwisho hupati utamaduni wowote. Hii kugawa gawa maeneo tutajikuta hatuna Tanzania.
C ndo ukweli lakin..ama?
 
Back
Top Bottom