Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,413
- 36,573
Ilikuwa suala la muda tu,ukizingatia pia saizi anampambania sana mzanzibar mwenzake......japo ilikuwa uonezi kumpokonya uwakili wake
YeahNamsubilia kama atakosoa mateso ya wakristo hapo Zanzibar
USSR
Magufuli alipiga bomu ofisi yake ya uwakili kutafuta mafaili ya ACACIA ili waharibu kesi. Huhakujua anapambana na nani;HAKI YA MTU HAIDHURUMIWI Mwendazake aliona amemkomoa
Siyo leseni tu hata uhai.Ila magufuli kama angebakia hawa wakina kibatala wote wangenyanganywa leseni za uwakili nchi ilikua inaelekea sehemu pabaya
Ilianza kwa magufuli huko nyuma nitajie ni yupi aliyefanyiwa hivyoMbona Adv. Mwabukusi sasa hivi anafanyiwa yale yale aliyofanyiwa Adv. Fatma? au unajitoa ufahamu makusudi, Magufuli was nobody hao wabaya wa Tanzania bado walikuwepo kanla ya Magufuli na bado wapo..endelea kujitoa ufahamu!
Wewe uko biased sana na comments zako sijui wewe ni ndugu na Magufuli? Au sijui ulikuwa ni mmoja wa hawara wa Magufuli??Seriously nyie viumbe na namna mnavyohangaika na the Late Magufuli kwa kujitahidi kila mara kukitaja jina lake kwa mabaya, nawaona mlivyo na upeo na kumbukumbu fupi.
- Adv. Mwabukusi, juzi tu ametoka kutishwa na mamlaka kutaka kumfutia uwakili wake, { inawezekana wameshamfutia}, kwani marehemu Magufuli yupo leo?
- Adv. Madeleka, huyu nae amekuwa akisumbuliwa kila siku kwa kutafutiwa kila aina ya sababu ilimradi wamfutie uwakili wake, kwani Marehemu Magufuli yupo leo?
...Umeandika upuuzi mwingi ila nakuacha tu kwasababu ya Ijumaa Kuu, mjinga nikupe shule.Wewe uko biased sana na comments zako sijui wewe ni ndugu na Magufuli? Au sijui ulikuwa ni mmoja wa hawara wa Magufuli??
Yaani badala ya kuunga mkono hatua ya kumrejesha Fatma Karume kwenye uwakili, mwanamke mwenzio aliyedhulumiwa ofisi na Magufuli kwa kupiga bomu.
Kisha watu wa Magufuli kina Biswalo na Feleshi wakamnyang'anya UWAKILI wake kwa kumtumikia DHALIMU. On the contrary unatuletea habari za Mwabukusi.
Kiumbe wa ajabu sana
tatizo ulimi sio brain 🐒
Tena si tu kutishia kupoka uwakili..ni kifo! Vp hawa wawili Prof. Juan Mwaikusa, Dk. Mvungi ilikuwa wakati gani?Ilianza kwa magufuli huko nyuma nitajie ni yupi aliyefanyiwa hivyo
Na wale walivamia nyumbani kwa Polepole Dodoma wanatofauti gani na hawa..Hivi hata wale waliovamia ofisi zake za IMMA ADV. pale upanga nahisi walitumwa yule jamaa....yaani nchi sijui ilikuwaje?
Shetani anaachaje kutajwa labda?Kuilikua na ulazima gani kumtaja magu?
Ameunga juhudi kimya kimya san!
Saafi kabisaMagufuli alipiga bomu ofisi yake ya uwakili kutafuta mafaili ya ACACIA ili waharibu kesi. Huhakujua anapambana na nani;
1. Rais Mstaafu wa chama cha wanasheria wa Tanganyika.
2. Mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar
3.Mjukuu wa Muasisi wa Muungano na Rais wa Kwanza wa Zanzibar.
4. Wakili wa kujitegemea kutoka kampuni ya uwakili ya IMMA Advocates
5. Activist
6. Shangazi wa Taifa
Niko JF tangu ikiwa Jamboforums ila ilipogeuka kuwa Jamii Forums tarehe yangu ya kuingia ni 2011.Wewe uko biased sana na comments zako sijui wewe ni ndugu na Magufuli? Au sijui ulikuwa ni mmoja wa hawara wa Magufuli??
Yaani badala ya kuunga mkono hatua ya kumrejesha Fatma Karume kwenye uwakili, mwanamke mwenzio aliyedhulumiwa ofisi na Magufuli kwa kupiga bomu.
Kisha watu wa Magufuli kina Biswalo na Feleshi wakamnyang'anya UWAKILI wake kwa kumtumikia DHALIMU. On the contrary unatuletea habari za Mwabukusi.
Kiumbe wa ajabu sana