M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
Amenena shangazi Fatma Karume kupitia ukurasa wake wa twitter baada ya serekali jana kuingia mkataba na "beberus" Barrick.
Tunaendelea kuliwa kama nchi..... au tutaliwa zaidi chini ya awamu ya 5 it seems. Hiki chama (CCM) nina kadi yake but moyoni kishanitoka kabisa.
Sitii neno zaidi hapa. Self-explanatory wenyewe wanasema.
Tunaendelea kuliwa kama nchi..... au tutaliwa zaidi chini ya awamu ya 5 it seems. Hiki chama (CCM) nina kadi yake but moyoni kishanitoka kabisa.
Sitii neno zaidi hapa. Self-explanatory wenyewe wanasema.