Fatma Karume achambua suala la Barrick/Acacia & makinikia

M-mbabe

JF-Expert Member
Oct 29, 2009
13,203
23,020
Amenena shangazi Fatma Karume kupitia ukurasa wake wa twitter baada ya serekali jana kuingia mkataba na "beberus" Barrick.

Tunaendelea kuliwa kama nchi..... au tutaliwa zaidi chini ya awamu ya 5 it seems. Hiki chama (CCM) nina kadi yake but moyoni kishanitoka kabisa.

Sitii neno zaidi hapa. Self-explanatory wenyewe wanasema.

 
Huo sio uchambuzi bali ametoa maelezo kwa ufahamu wake!

CCM ninailaumu sana katika sera ya elimu kwa sababu kuna kundi kubwa la vijana wanaojiita wahitimu wa vyuo vikuu lakini kiuhalisia bado ni wajinga wa kiwango cha sekondari (Ordinary level)!

Yaani mleta mada kwa akili yako ''kubwa'' unadhani huu ni uchambuzi?
 
Hivi 50/50 ya faida na hasara mnaiona ndogo? Unless hiyo faida si faida ninayoijua mm bali kwenye huo mkataba neno faida lina tafsiri nyingine. Kama ni tafsiri hii hii basi tumeula na ajira si zitatoka tu tena wataajiriwa maana hawawezi kufanya kazi bila watumishi.
 
Kiukweli maamuzi yale wengi walipoteza ajira, familia, wadau kuyumba,kodi serikali ikishuka pia. Suala la 16%; ilikuwepo 15%; lilikuwa suala majadiliano, 50/50 tata sana; serikali ina 30% corp tax na vat 18%!
Madai ya Trillion 490,Tzs yameyeyuka, kishika uchumba $300M, sijui tumelipwa!?

Kwa mujibu wa mpatanishi kiongozi wetu hali ilikuwa tete sana.Barrick walituchezea mchezo kama kususa vile,Mara wamuuzie mchina, finaly kaburu Rand gold pahala pa Acasia.

Kiufupi tumejiumiza wenyewe, hasara kiuchumi ni kubwa kuliko faida.Pia iliondoa na kupunguza imani wawekezaji wakubwa ktk taifa letu.

Wachumi wabobezi wanaweza weka details.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli maamuzi yale wengi walipoteza ajira, familia, wadau kuyumba,kodi serikali ikishuka pia. Suala la 16%; ilikuwepo 15%; lilikuwa suala majadiliano, 50/50 tata sana; serikali ina 30% corp tax na vat 18%!
Madai ya Trillion 490,Tzs yameyeyuka, kishika uchumba $300M, sijui tumelipwa!?
Kwa mujibu wa mpatanishi kiongozi wetu hali ilikuwa tete sana.Barrick walituchezea mchezo kama kususa vile,Mara wamuuzie mchina, finaly kaburu Rand gold pahala pa Acasia.
Kiufupi tumejiumiza wenyewe, hasara kiuchumi ni kubwa kuliko faida.Pia iliondoa na kupunguza imani wawekezaji wakubwa ktk taifa letu.
Wachumi wabobezi wanaweza weka details.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakin yule mkurugenzi wa Barrick amsema kuwa Tanzania haifukuzi wawekezaji bali inataka fair share!! Sidhan kama wewe una ufahamu wa madini kuliko yeye!
 
Kiukweli maamuzi yale wengi walipoteza ajira, familia, wadau kuyumba,kodi serikali ikishuka pia. Suala la 16%; ilikuwepo 15%; lilikuwa suala majadiliano, 50/50 tata sana; serikali ina 30% corp tax na vat 18%!
Madai ya Trillion 490,Tzs yameyeyuka, kishika uchumba $300M, sijui tumelipwa!?
Kwa mujibu wa mpatanishi kiongozi wetu hali ilikuwa tete sana.Barrick walituchezea mchezo kama kususa vile,Mara wamuuzie mchina, finaly kaburu Rand gold pahala pa Acasia.
Kiufupi tumejiumiza wenyewe, hasara kiuchumi ni kubwa kuliko faida.Pia iliondoa na kupunguza imani wawekezaji wakubwa ktk taifa letu.
Wachumi wabobezi wanaweza weka details.

Sent using Jamii Forums mobile app
A good fresh start is better than being the same eerday wapungue tu siyo issue ni bora tuanze upya kwanza tumeokoa na mataifa mengine yataona 50/50 kwa miners inawezekana kuna mataifa mengi yanapigwa tu kwa ubeberu huu.
 
Watu 2000 wakapotezeshwa ajira na leo makinikia yameruhusiwa kuuzwa kama kawaida na Jiwe amesema anamfahamu mnunuzi
 
Lakin yule mkurugenzi wa Barrick amsema kuwa Tanzania haifukuzi wawekezaji bali inataka fair share!! Sidhan kama wewe una ufahamu wa madini kuliko yeye!
Mkuu unakumbuka kauli,haiba ,matamko ,hadhira mkuu wa nchi akitangazia umma Kamati Prof.Mruma/ Ossoro!? Mkuu wa nchi ni kiongozi no.1, ilikuwa habari kubwa duniani! Kisha fuatilia kilichofuata Bungeni, rejea hitimisho mikataba juzi, Ni kama mbwa aliyepigika tumeficha mkia,rejea hotuba Kabudi na mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo sio uchambuzi bali ametoa maelezo kwa ufahamu wake!

CCM ninailaumu sana katika sera ya elimu kwa sababu kuna kundi kubwa la vijana wanaojiita wahitimu wa vyuo vikuu lakini kiuhalisia bado ni wajinga wa kiwango cha sekondari (Ordinary level)!

Yaani mleta mada kwa akili yako ''kubwa'' unadhani huu ni uchambuzi?
Na wewe punguani maelezo marefu kama headlines za gazeti la udaku halafu ujinga mtupu.
 
50/50 kwa hisa 16 ni miujiza inayohitaji ufafanuzi wa kina.
Tatizo lenu wabongo mnashindwa kuelewa haya madini ni yetu huo ndo mtaji wetu hata kama tutakua na share kidgo ya 16% in terms of fund but mtaji wetu mwingine mkubwa out of share ni ardhi yenye madini come wabongo hivi mnawaza kwa kutumia nn ? Kwann wasiende kuchimba kwao na hizo fund zao?
 
Tatizo lenu wabongo mnashindwa kuelewa haya madini ni yetu huo ndo mtaji wetu hata kama tutakua na share kidgo ya 16% in terms of fund but mtaji wetu mwingine mkubwa out of share ni ardhi yenye madini come wabongo hivi mnawaza kwa kutumia nn ? Kwann wasiende kuchimba kwao na hizo fund zao?
why share 16% pamoja na kuchangia ardhi na madini? Established practice gawio is in proportion to shares.
 
Back
Top Bottom