GE2025 Fataki zapigwa Arusha Mjini katika maandalizi ya kumpokea Rais Samia

GE2025 Fataki zapigwa Arusha Mjini katika maandalizi ya kumpokea Rais Samia

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Gharama zinatumika kubwa sana! Na ninachokiona na kujiuliza je hizi bwebwe zote hizi Makonda anazozifanya katika kampeni hizi pesa zote anazitoa wapi?

Je anahuwakika wa kushinda na baada ya kushinda anauhakika wa kula uteuzi mkubwa wa uwaziri? Na hapo ndipo atakapozirejesha hizo pesa zote alizotumia kwenye kampeni?

Maana miongoni mwa wagombea ubunge wa CCM ambaye ameonyesha kutumia pesa nyingi kwenye mikutano yake hadi sasa ni yeye!

 
Gharama zinatumika kubwa sana! Na ninachokiona na kujiuliza je hizi bwebwe zote hizi Makonda anazozifanya katika kampeni hizi pesa zote anazitoa wapi?

Je anahuwakika wa kushinda na baada ya kushinda anauhakika wa kula uteuzi mkubwa wa uwaziri? Na hapo ndipo atakapozirejesha hizo pesa zote alizotumia kwenye kampeni?

Maana miongoni mwa wagombea ubunge wa CCM ambaye ameonyesha kutumia pesa nyingi kwenye mikutano yake hadi sasa ni yeye!

Mm kila siku nasema ukikosa akili hapa dunia utajikuta unafanya?mambo mengi ya kijinga kama anayo fanya makonda

Huyu alikuja na ujunga mwingi hapo arusha .alileta range rover festive,akaja na nyama na bia ,akasema analeta balloon festival sema ikashindikana .

Huyu ana akili yeyote tena anayewe mpigia kura makonda anaweza kuwa kicha tu🤔. Kwa sababu atawez kuwa na kiongoz anapenda mambo ya anasa hivyo .

Cha msingi hapo ni October 29 tukomboe tanzania yetu kutoka kwa hao vibaka tu
 
Makonda ni bingwa wa unafiki. Kumbukeni alikuwa kipenzi wa Kikwete.
1. Jiwe alipoingia madarakani Makonda akamwaga Kikwete na kuwa kipenzi cha jiwe.

2. Kipindi jiwe akiwa madarakani Makonda alikuwa anamdharau sana huyu mama. Aliwahi kumuacha mama akiifanya ziara mkoani DSM na Makonda akiwa RC wa DSM akakimbia kwenda Tanga jiwe ambako jiwe alikuwa anafanya ziara ya kikazi . Ndiyo siku jiwe akawapatanisha na Ruge .

3. Mama kaingia madarakani akajifanya ana uchungu sana na mama. Mpk siku ya msiba wa Lowasa akawachongea baadhi ya mawziri (nape, makamba, Ummy, n.k) kuwa wanamtukana na kumhujumu mama. Hivi sasa anaendeleza unafiki ili mama aendelee kumuamini.
 
Makonda ni bingwa wa unafiki. Kumbukeni alikuwa kipenzi wa Kikwete.
1. Jiwe alipoingia madarakani Makonda akamwaga Kikwete na kuwa kipenzi cha jiwe.

2. Kipindi jiwe akiwa madarakani Makonda alikuwa anamdharau sana huyu mama. Aliwahi kumuacha mama akiifanya ziara mkoani DSM na Makonda akiwa RC wa DSM akakimbia kwenda Tanga jiwe ambako jiwe alikuwa anafanya ziara ya kikazi . Ndiyo siku jiwe akawapatanisha na Ruge .

3. Mama kaingia madarakani akajifanya ana uchungu sana na mama. Mpk siku ya msiba wa Lowasa akawachongea baadhi ya mawziri (nape, makamba, Ummy, n.k) kuwa wanamtukana na kumhujumu mama. Hivi sasa anaendeleza unafiki ili mama aendelee kumuamini.
Makonda ana akili ndogo sana 😂😂 kama lasaba wa sasa hivi
 
Makonda ni bingwa wa unafiki. Kumbukeni alikuwa kipenzi wa Kikwete.
1. Jiwe alipoingia madarakani Makonda akamwaga Kikwete na kuwa kipenzi cha jiwe.

2. Kipindi jiwe akiwa madarakani Makonda alikuwa anamdharau sana huyu mama. Aliwahi kumuacha mama akiifanya ziara mkoani DSM na Makonda akiwa RC wa DSM akakimbia kwenda Tanga jiwe ambako jiwe alikuwa anafanya ziara ya kikazi . Ndiyo siku jiwe akawapatanisha na Ruge .

3. Mama kaingia madarakani akajifanya ana uchungu sana na mama. Mpk siku ya msiba wa Lowasa akawachongea baadhi ya mawziri (nape, makamba, Ummy, n.k) kuwa wanamtukana na kumhujumu mama. Hivi sasa anaendeleza unafiki ili mama aendelee kumuamini.
Kwahiyo Makonda ndio kasababisha akina Makamba,Nape & Ummy wawekwe pembeni!?,kweli mpaka leo hujui kosa lao!?, by the way, katika Dunia hii kitu muhimu ni maisha mazuri wewe na familia yako. Kuwa CHAWA, mnafiki, roho mbaya ila kikubwa uishi vizuri tu. Kuna watu mnateseka miaka yote kwa ajili ya Makonda, ila cha ajabu Makonda huwa hateseki na maendeleo ya wengine. Life is too short, live your life.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Kwahiyo Makonda ndio kasababisha akina Makamba,Nape & Ummy wawekwe pembeni!?,kweli mpaka leo hujui kosa lao!?, by the way, katika Dunia hii kitu muhimu ni maisha mazuri wewe na familia yako. Kuwa CHAWA, mnafiki, roho mbaya ila kikubwa uishi vizuri tu. Kuna watu mnateseka miaka yote kwa ajili ya Makonda, ila cha ajabu Makonda huwa hateseki na maendeleo ya wengine. Life is too short, live your life.
Njoo na facts alicho kifanya kwa gambo ile ni nn?kama siyo tamaa ya ubunge na uwaziri .

Alicho kifanya 2020 kule kigamboni ni nn? Kama siyo tamaa ya madaraka yy ni mkuu wa mkoa akaona ufai kabisa .na?alipigwa na wajumbe
 
Njoo na facts alicho kifanya kwa gambo ile ni nn?kama siyo tamaa ya ubunge na uwaziri .

Alicho kifanya 2020 kule kigamboni ni nn? Kama siyo tamaa ya madaraka yy ni mkuu wa mkoa akaona ufai kabisa .na?alipigwa na wajumbe
Kwani inakatazwa kugombea ubunge ukiwa Mkuu wa Mkoa?Wanagombea mawaziri au hujawaona? Amemfanyia nini Gambo?Fafanua wacha kufuata tu mkumbo.Andika ueleweke.
 
Kwani inakatazwa kugombea ubunge ukiwa Mkuu wa Mkoa?Wanagombea mawaziri au hujawaona? Amemfanyia nini Gambo?Fafanua wacha kufuata tu mkumbo.Andika ueleweke.
Wew ushakuwa ni chawa wa makonda 😂😂😂😂

Amefanya fitna juu ya gambo kwanzia siku ya wanawake. Kwanzia lile sakata la ela kupigwa mpk mchengwera na gambo kubisha bungeni pale ulikuwa ni mpango wa kumpiga gambo chini.
Mke wa gambo kuvuliwa cheo chake cha afisa elimu wilaya ya monduli eti ana sifa🤔🤔😂.

Kwan nn? Siku zote alikuwa hapo mtu ambaye anasifa amekali hicho kiti .tungekuwa na serikali makini wote walio husika na utezi kipindi hicho wangetawika wasiwe na kazi.

Kwenye issue ya kuwa mkuu wa mkoa na kuacha kwenda kwenye ubunge hiyo ni tamaa .wala hamna kuwakilisha wananchi .
1. Kwan ukiwa mkuu wa mkuo uwakilishi wananchi?
2. Yey anatama za madaraka makubwa na wew chawa wake bado ujaelewa tu😂😂.
3. Huyu mtu alitaka kuwakilisha wananchi wa kigamboni akapigwa nje sasa hivi anataka kuwakilisha wananchi wa arusha mjini.na hapo angepigwa nje angetaka kuwakilisha wananchi labda wa iringa,njombe na majimbo mengine😂😂
4. Alafu anamambo ya kitoto sana awezi ongoza watu wenye hakili huyo .


Naona unampigia kifua sana au na wew ulikuwa kwenye nyama za bure nn?😂😂😂😂
 
Makonda Bwana, mzee wa f
Gharama zinatumika kubwa sana! Na ninachokiona na kujiuliza je hizi bwebwe zote hizi Makonda anazozifanya katika kampeni hizi pesa zote anazitoa wapi?

Je anahuwakika wa kushinda na baada ya kushinda anauhakika wa kula uteuzi mkubwa wa uwaziri? Na hapo ndipo atakapozirejesha hizo pesa zote alizotumia kwenye kampeni?

Maana miongoni mwa wagombea ubunge wa CCM ambaye ameonyesha kutumia pesa nyingi kwenye mikutano yake hadi sasa ni yeye!

Gharama zinatumika kubwa sana! Na ninachokiona na kujiuliza je hizi bwebwe zote hizi Makonda anazozifanya katika kampeni hizi pesa zote anazitoa wapi?

Je anahuwakika wa kushinda na baada ya kushinda anauhakika wa kula uteuzi mkubwa wa uwaziri? Na hapo ndipo atakapozirejesha hizo pesa zote alizotumia kwenye kampeni?

Maana miongoni mwa wagombea ubunge wa CCM ambaye ameonyesha kutumia pesa nyingi kwenye mikutano yake hadi sasa ni yeye!

Makonda mzee wa fulsa, anacheza na mfumo ila siku kikiumana asije kimbia nchi ambapo amezaliwa
 
Back
Top Bottom