Fastjet ya Mwanza-Dar ime-abort take off!

rasomaka

Senior Member
Joined
Dec 26, 2013
Posts
115
Reaction score
139
Wakuu,

Naandika hapa huku mapigo ya moyo yapo juu sana. Natokea Mwanza muda huu na flight ya saa8:25 fastjet kurudi Dar. Tumefika kwenye run-way na mbio zikaanza za kutafuta speed ya kupaa, wallahiiii ndege si wakakatiza ghafla juu na si tayari Kasuku (fastjet) yupp kibati... Aiseee zimefungwa break mpaka tumehama ndani pamoja na mikanda kufungwa.

Nashukuru tuko salama na imebidi turudi tutoke nje ya ndege. Tumerudi terminal ndege inakaguliwa
 
Wanaikagua kwa kuwa Engine za ndege zilikuwa tayari zimepewa full power (realease full power kwa ajili ya take off), hivyo tulivyosimama ghafla sana Engine zikawa shuttered, yaani zikaloose power from say lab[MENTION][/MENTION]da 100% to 0% in seconds, kitu ambacho sio kizuri. Pilot amerudisha ndege kwa ukaguzi kama kuna any damage imepatikana kutokana na kuabort landing ghafla akiwa speed tayari.

Nashukuru Mungu tumepona na kusalimika. Yaani sijui sasa hivi ingekuwaje
 
Ilikuwa imekaguliwa lakini kwakuwa imegonga ndege hai wakati inatake off,lazima ifanyiwe ukaguzi mwingine ili kuangalia km haikupata madhara makubwa iweze kuendelea na safari.
 
Da! hakuna usafiri na uogopa kama ndege, ktk maisha yangu ndege nimepanda mara 2 tena kwa matatizotu sivinginevyo, pole sana
 
Uwanja wa ndege Mwanza kuna tatizo la (ndege hai) wengi maana hata ile ndege ya jeshi ilipata ajari kisa ndege hai kaingia kwenye injini ya ndege
 

Kweli muhe wa ajali umekukamata.

Mme abort landing au take off?

Usihofu sana ni zoezi la kawaida katika mazingira hayo....na rubani akaguliwe akili tafadhali
 
Kweli muhe wa ajali umekukamata.

Mme abort landing au take off?

Usihofu sana ni zoezi la kawaida katika mazingira hayo....na rubani akaguliwe akili tafadhali
dah hii ishu ya Germany wings
 

Poleni nadhani ni bahati mbaya tu viumbe hao kukatiza. Mungu asifiwe.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…