Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 414
...Ule uwanja ndege wa Kigoma nakumbuka ulikuwa ukifanyiwa upanuzi na maboresho mengine ili kuruhusu hata ndege kubwa kama Airbus za Fast Jet kutua. Labda wanahisi hakutakuwa na abiria wa kutosha ukizingatia Presicion Air na ATCL nao wanapeleka ndege. Lakini kiukweli jamaa kutoka Congo, Rwanda na Bujumbura watajaza ndege kwa zile bei za Fastjet.Nafikiri uwanja ndio tatizo,wala so uchawi kama alivyosema gala mmoja