chakutaka
Senior Member
- Feb 6, 2015
- 150
- 14
Leo hii nikiwa ninataka kukata tiketi online ili na mie nipande pipa la fastjet kuelekea jijini Mwanza nimekutana na malipo yaliyonichanganya kwani nilipigwa na butwaa kuona kuwa gharama ya tiketi hizo kuandikwa kwa Dola wakati zamani tulikuwa tukilipa kwa shilingi. swali langu kwao FASTJEt. Je, serikali imeruhusu suala hili?
Sisi walalahoi kuambiwa tiket ni dola kadhaa hivyo inabidi tuchange madafu yetu ili yaendane na gharama ya Dola kwa siku husika?
Why Dola, bado najiuliza.
Sisi walalahoi kuambiwa tiket ni dola kadhaa hivyo inabidi tuchange madafu yetu ili yaendane na gharama ya Dola kwa siku husika?
Why Dola, bado najiuliza.