FastJet imefilisika na kuhujumu wasafiri?

FastJet imefilisika na kuhujumu wasafiri?

Andre02150

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2010
Posts
332
Reaction score
129
Shirika la ndege la FastJet linahujumu sisi wasafiri hasa kipindi hiki cha sikukuku. Shirika limefuta safari zake zote na kuwataka abiria wenye ticket kuwasiliana na ofisi zao ili warejeshewe pesa zao.

Ajabu namba za simu pamoja na e-mail hazifanyi kazi. Abiria tumebaki hatujui hatima ya pesa zetu na huku serikali ikiendelea kukaa kimya.

Ni vyema mamlaka husika zikaingilia kati katika sintofahamu hii ili kunusuru pesa zetu sisi wasafiri.

1a097de3-4865-4d4c-8286-ebc15fcc9fbc.jpg
 
Mkakamate ndege muuze mjilipe , natania
 
Back
Top Bottom