saitama_kein
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 981
- 99
Jamani taifa linakwenda wapi??
Diploma ya Nurse ilikuwa miaka minne (4) lakini serikali yetu ya awamu ya nne ikapunguza na kuwa miatatu (3) na benchi ya kwanza watamaliza hivi karibuni.
Kama hiyo haitoshi, sasa wanapunguza mpaka miaka 2??? Kweli afya bora kwa kila Mtanganyika itapatikana hapo??
(source taarifa ya habari ITV leo tarehe 11.05.2011 saa 2 usiku)
Diploma ya Nurse ilikuwa miaka minne (4) lakini serikali yetu ya awamu ya nne ikapunguza na kuwa miatatu (3) na benchi ya kwanza watamaliza hivi karibuni.
Kama hiyo haitoshi, sasa wanapunguza mpaka miaka 2??? Kweli afya bora kwa kila Mtanganyika itapatikana hapo??
(source taarifa ya habari ITV leo tarehe 11.05.2011 saa 2 usiku)