Fast jet leo mmezingua.. mnakuwa kama precision

Fast jet leo mmezingua.. mnakuwa kama precision

MKATA KIU

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,481
Reaction score
8,582
Niaje wadau,,

Hopin humu kuna wahusika wa fast jet.. Leo mmekera na kuboa kuliko kawaida,,

Inakuwaje mna cancel flight ya Mwanza late.. Hata kama ndege ya mchana mbovu mbona wa asubuhi wameondoka? Na msiende na kurudi na kubeba wengine mchana kwa ndege hiyo hiyo.. Ticket zenyewe mnauza gharama lakini bado hajatulia.. Mbona kipindi cha low season ticket mliuza kwa bei nafuu na ratiba ilikuwa uhakika?

Yaani leo mmekuwa team precision.. Wengine walikuwa wanaenda kwenye send of za ndugu zao sasa mmeshaharibu ratiba..

Shenzi kabisa airline za Tanzania
 
Back
Top Bottom