Fao la kujitoa mtihani wabunge wa CCM

Fao la kujitoa mtihani wabunge wa CCM

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,949
Reaction score
74,431
Wamezoea kusema ndio kwa kila wanachoagizwa kusema hivyo. Jee Fao hili la kujitoa ambalo muswada wake umepelekwa bungeni huku ukipingwa na wananchi wachangiaji walio wengi watalazimisha kwa wingi wao kuupitisha ili kuiunga mkono au watajali kilio cha wachangiaji wananchi waliowatuma Bungeni?
 
Kwahili nikotayari kuandamana, hata kufungwa maisha, pesa yangu kuitumia nisubiri hadi ntakapa fikisha miaka 60, typically nonsense!
 
Embu tuunganishe dots...

Sheria haijapitishwa ila utekezaji umeshaanza kufanyika(PPF hawatoi fao la kujitoa kwa miez ka,,,,dhaa sasa, na NSSF nao wameshaanza kutotoa fao hili).

Mifuko ya jamii inalazimishwa kutoa hela za kujenga viwanda, tena kabla la December...
Hapa kuna kila dalili ya kuburuzwa tuuu
 
Huu ni mswaada wa dhuluma kwa masikini, ajira zenyewe ziko wapi, wao wenyewe wanasisitiza tuwe wajasiriamali na hawatoi mikopo, hili fao la kujitoa ni kama opportunity ya watu walioacha kazi kujiajiri wenyewe, hii ni kupeana umasikini tu
 
Huu ni mswaada wa dhuluma kwa masikini, ajira zenyewe ziko wapi, wao wenyewe wanasisitiza tuwe wajasiriamali na hawatoi mikopo, hili fao la kujitoa ni kama opportunity ya watu walioacha kazi kujiajiri wenyewe, hii ni kupeana umasikini tu
Umetema madini, safi sana
 
Wamezoea kusema ndio kwa kila wanachoagizwa kusema hivyo. Jee Fao hili la kujitoa ambalo muswada wake umepelekwa bungeni huku ukipingwa na wananchi wachangiaji walio wengi watalazimisha kwa wingi wao kuupitisha ili kuiunga mkono au watajali kilio cha wachangiaji wananchi waliowatuma Bungeni?
Huu ni mtihani hasa kwa wabunge wa upinzani endapo watasimama pamoja na wananchi ama la.Kwa CCM tunajua wameshawekwa sawa na serikali hakuna jipya.
 
Huu ni mtihani hasa kwa wabunge wa upinzani endapo watasimama pamoja na wananchi ama la.Kwa CCM tunajua wameshawekwa sawa na serikali hakuna jipya.
Wapinzani walisha tolea tamko lakini Samara had garish a kuwa mambo yakishindikana ni kwa uchache wao.
Maana yake nini? Ni kama vile wanatu alert kuwa wale wa Ccm huwa hawanampango na maumivu ya wananchi bali wanasubiri wataambiwa nini.
 
Embu tuunganishe dots...

Sheria haijapitishwa ila utekezaji umeshaanza kufanyika(PPF hawatoi fao la kujitoa kwa miez ka,,,,dhaa sasa, na NSSF nao wameshaanza kutotoa fao hili).

Mifuko ya jamii inalazimishwa kutoa hela za kujenga viwanda, tena kabla la December...
Hapa kuna kila dalili ya kuburuzwa tuuu
Muswada huo waweza kupita, lakini hao walio anza kunyimwa fedha zao na mifuko hiyo kabla ya sheria hiyo haijapitishwa wanapaswa kujiunga kwa pamoja kila mkoa na kuishitaki mahakamani mifuko hiyo kwa kwenda kinyume na sheria katika fedha zao. Wimbi hilo la kesi likisambaa nchi nzima kitaeleweka, mawakili wajitolee kuwasaidia kwa makundi watumishi hao waathirika
 
Back
Top Bottom