DEVINE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 536
- 86
Jamaa aliyepata ajali ya bodaboda akatakiwa kukatwa mguu kwani mguu mmoja ulijeruhiwa sana.Sasa baada ya nusu kaputi jamaa anakutana na uso wa daktari ukishangaa.
JAMAA;..vipi daktari unashangaa nini?!
DAKTARI;...kuna taarifa mbili,moja nzuri nyingine mbaya.Ipi ungependa kuisikia kwanza?
JAMAA;Anza na mbaya...
DAKTARI; mbaya ni kwamba tumeukata mguu ambao sio.
JAMAA;..Enhe! Na nzuri je?!
DAKTARI;Mguu uliotakiwa kukatwa unaanza kupona...
Hebu fikiri ungekuwa wewe ungemfanyeje huyu daktari?
JAMAA;..vipi daktari unashangaa nini?!
DAKTARI;...kuna taarifa mbili,moja nzuri nyingine mbaya.Ipi ungependa kuisikia kwanza?
JAMAA;Anza na mbaya...
DAKTARI; mbaya ni kwamba tumeukata mguu ambao sio.
JAMAA;..Enhe! Na nzuri je?!
DAKTARI;Mguu uliotakiwa kukatwa unaanza kupona...
Hebu fikiri ungekuwa wewe ungemfanyeje huyu daktari?