Fanya Hivi Ukitaka Kusajili Kampuni ya Ujenzi (Construction)

Fanya Hivi Ukitaka Kusajili Kampuni ya Ujenzi (Construction)

Luhamba II

Senior Member
Joined
Mar 22, 2025
Posts
126
Reaction score
186
Kusajili Kampuni ya Construction Kuna procedures zake ambazo hazijaachana sana na Kampuni ya kawaida, ila hapa nitakuandikia in details procedures hizo;

1/5 Company Registration
Hapa utafuata taratibu zote za brela kama kuandaa documents, kufanya application na kulipia fee, baada ya usajili wa Kampuni kukamilika unaenda hatua ya pili.

2. TRA stage, hapa Kuna mambo matatu yanafanyika,
a) makadirio ya Kodi
b) TIN
c) Tax clearance

3. Project Registration

4. Kujisajili CRB
Hii inaitwa Contractors Registration Board ni board ambayo kila mtu aliyepo kwenye construction industry anatakiwa kua member.

5. Other compliances kama OSHA, WCF na NSSF

I hope this helps.

Hey, naitwa luhamba Mimi ni mwanasheria na agency freelancer nawasaidia wafanya biashara kama wewe Kusajili Kampuni na biashara, kama unahitaji consultation zaidi kuhusu usajili wa Kampuni unaweza kunitumia ujumbe Whatsapp kupitia namba hizi

0678131068

Your Favorite lawyer.
 
Nataka kununua kampuni ambazo zimefirisika na zina wateja,hazina madeni makubwa na pia baada ya hapo nibadili umiliki jee hii imekaaje?naomba muongozo wako.
 
Nataka kununua kampuni ambazo zimefirisika na zina wateja,hazina madeni makubwa na pia baada ya hapo nibadili umiliki jee hii imekaaje?naomba muongozo wako

Nataka kununua kampuni ambazo zimefirisika na zina wateja,hazina madeni makubwa na pia baada ya hapo nibadili umiliki jee hii imekaaje?naomba muongozo wako.
Kuna hatua kadhaa
1. Hakikisha unaandaliwa mkataka na wakili wa kununua Kampuni husika.
2. Baada ya kukamilisha manunuzi hakikisha unapewa access ya akaunti ya Brela yaan username na passwords
3. Unafanya application brela
4. Utalipia fee 66,000
Kama unahitaji nikusaidie process nzima unaweza kunitumia ujumbe Whatsapp kupitia namba hizi 0678131068
 
Nataka kununua kampuni ambazo zimefirisika na zina wateja,hazina madeni makubwa na pia baada ya hapo nibadili umiliki jee hii imekaaje?naomba muongozo wako.
Investor Wasiliana na Watu wa TRA na Brela
 
Nataka kununua kampuni ambazo zimefirisika na zina wateja,hazina madeni makubwa na pia baada ya hapo nibadili umiliki jee hii imekaaje?naomba muongozo wako.
Kibongo bongo kampuni ikifilisika sababu kuu mara nyingi ni madeni yasiyolipika
 
Back
Top Bottom