GE2025 Fanya hivi ili usidakwe kirahisi na 'wanamtandao' wanapokutafuta kupitia Instagram

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
2,786
Reaction score
7,567
Wakuu,

Jamaa kaelezea kwa lugha rahisi huku ukiwa unaona jinsi watu wanavyoweza kukudaka ukiwa umeachia sehemu ya location kutumika kwenye mtandao Instagram. Fuata maelekezo, jilinde.

Your browser is not able to display this video.


Mbali na hili, tofauti na biashara acha kupenda kupost maeneo unayopenda kutembelea au unapopoa mara kwa mara, hadi ukitaka kujamba huyo ushapost!

Hata bila kuwasha location ni rahisi watu kukuotea na kukupata, anajua akitembelea maeneo yako matatu manne lazima akupate sehemu moja wapo.

Pia usisahau hili: Chukua tahadhari: Kuna watu wamemwagwa kufuatilia wanaopinga Serikali ya Malawi, acha kuropoka ovyo mtaani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…