Fanya haya hamu ya sex itarudi

Fanya haya hamu ya sex itarudi

Rapunzel

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2012
Posts
1,079
Reaction score
601
Namshukuru mdau aliyenipa ushauri huu kupitia pm na ameridhia kushare nanyi .

Kitu cha kwanza unachopaswa kuzingatia ni kutambua na kukubali kuwa kuna vitu ambavyo huwezi kuvibadilisha na hivyo basi unatakiwa kujifunza kuishi navyo
kwa kuvichukulia kama vilivyo, kuvidharau au kutafuta namna ya
kuvifurahia.


Vitu hivyo ni kama Ukubwa/Udogo wa Uume/Uke, Uwezo mdogo wa kungonoka, rangi na umbile la nyeti yako.


Kwenye kubadilisha mwenendo wako wa kingono unategemeana zaidi na wewe mwenyewe au ninyi wenyewe kama wenza kwani routine huwa zinatofautiana na vilevile hubadilika kutokana namazingira, mtindo wa maisha yenu (how busy you
are n.k.).


Kuna ile “routine” ya kushikana-shikana mikono ikiwa mikavu tena kwa kuanzia mapajai kupanda juu, badilisha hiyo na sasa tumia mafuta ya ngozi ya maji yasiyo na harufu (baby oil inafaa) au lotion mnayotumia kwa ajili ya ngozi kuepuka matatizo ya ngozi na badala ya kuanza kushikana mapajani kwenda juu anzia popote alafu bila kufuata "routine". Hilo moja.


Pili, Basi badili mtindo wako wako wa kula ili ngozi na mwili wako upendeze na kuvutia na hivyo kuwa managable kitandani (wakati wa kufanya mapenzi)

Tatu, Jifunze kuizungumzia ngono na mpenzi/mwenza/mumeo kwa njia za kisasa za kimawasiliano, Mf: kumwambia kilichofanyika jana usiku na nini hasa
kilikupendeza, unachotarajia kumfanya usiku wa leo, nini ungependa
kufanyiwa/kujaribu n.k.

Usipo ongea na mpenzi wako katika mtindo wa kingono-ngono au kimahaba kwa njia za kisasa za kimawasiliano alafu ikatokea Mf:“facebook friend” au BBM contact akawa anazungumzia hayo kwa mke/mume basi usije kushangaa kuona mwenza wako anatumia muda mwingi kwenye BBM, Facebook au mikusanyiko
mingine ya Mtandaoni (wapo wakaka na wadada wanapenda sana mtindo huu
wa kuongea na wapenzi wa watu wenyewe wanaita ku-flirt).


Hakuna mtu asiependa ku-flirt lakini unapokuwa kwenye uhusiano/ndoa unaweza kudhani kuwa huitaji kufanya hivyo tena, kiukweli unaweza kabisa ku-flirt na mwenza wako na ninapenda kukuhakikishia kutokana na uzoefu wangu kuwa "mtindo huo wa mawasiliano" huwaongezea chachu kwenye uhisiano wenu na ile hamu ya kutaka kuwa pamoja japokuwa mnaishi pamoja. Yaani unatamani kurudi
nyumbani kuwa na mume/mke wako kuliko kukaa Bar au Salon.


Nne ongeza kiwango cha "romance" kwa kuwa na mazoea ya kubadilishana mate au kubusu shingo na kuitafuna kimahaba, kunyonya chuchu bila kukusudia kufanya ngono, kwamba unafanya hivyo kama sehemu ya kuonyesha mapenzi au ukaribu wenu kama wapenzi.....sio msubiri mpaka mnapokwenda kungonoka.
Jitahidi kutumia midomo na ulimi mara kwa mara mnapokuwa pamoja.


Tano, jifunze Kuponografika ikiwa mwenzio anapenda hizo bue movies, karibu wanaume wote wanazipenda hizi kitu na sio dhambi kuziangalia kwa pamoja kama
mnaweza ila tu angalieni msipitilize na kuwa addicted. Natambua huwezi kujifunza jambo lolote ili kuboresha uhusiano wako lakini unaweza kuburudika kama anavyoburudika yeye (mimi Binafsi sipendi
kuona watu wanangonoka).

Sita, Kuza au ongeza uwezo wako wa kungonoka kwa kujitahidi kufanya ngono mara kwa mara, jinsi unavyofanya mara nyingi kwa mitindo na mikao tofauti ndivyo ambavyo utakuwa na hamu ya kutaka kufanya tena...unajua zile “moments” za kila “event” ndizo zitakazokuongezea nyege kila utakapokuwa unazikumbuka na hivyo kumtamani mwenza wako na kutaka kufanya tena na tena.....


Huitaji dawa unless Daktari athibitishe kuwa uwezo wako wa ngono au kusex Mdogo....untill then uwezo wako unaweza kuwa juu zaidi ya ufikiriavyo.

Kila la Kheri.
 
Kusoma hiii tu Yani hapa nna genye tayari..ni kweli kabisa...esp kwa wenye ndoa
pokea like...
Ila mhhhh 'piemu' kuna mambooo hehhe
 
Umenena,ngoja tuweke kwenye matendo sasa!thenkyuu
 
Nakshi,

naomba tukutane PM tubadilishane experience!

you are an expert now..
 
Last edited by a moderator:
Mimi naona kuna prinsiple moja...hasa kwa ss wanaume ukimpenda mtu either mchumba au mke..yaani umpende kabisa ile ya kumkubali unavutiwa nae kabisa basi haya mambo mengine inakua rahisi sana..hamu itakuja, utamridhisha, utamletea zawadi, utafanya kila kitu especily ukutane na mwanamke ambaye nae anaakili zake anaelewa...lkn sasa kibongo bongo hata uwe na mafuta gani ya kusugua mwili kama upo na mtu km fashion tu, au kama wajibu wa kuoa tu au km sex toy.. Bila upendo wa hali ya kutoka moyoni ni matatizo sana..na we usually we start with sex n then love while viceversa is true
 
Kusoma hiii tu Yani hapa nna genye tayari..ni kweli kabisa...esp kwa wenye ndoa
pokea like...
Ila mhhhh 'piemu' kuna mambooo hehhe

Mweeeh genye tena .. mh twende pm nikakufundishe jins yakuzimliza bila hata mgegedano
 
Bado tu unahaha na namna ya kuipiga starter mashine ya mumeo?
 
Kusoma hiii tu Yani hapa nna genye tayari..ni kweli kabisa...esp kwa wenye ndoa
pokea like...
Ila mhhhh 'piemu' kuna mambooo hehhe

Njoo tutoleane basi hizo ngenye
 
Back
Top Bottom