Familia zitakazojaa Bungeni

Familia zitakazojaa Bungeni

Bunge litakuwa linatoa maamuzi ya familia sio wananchi
 
Unatiki huku unaogopa kuomba reforms kwenye chama chako..!!
Uoga huo mwanaume mzima unasubiria wajumbe wakusaidie..!!
Reform zinafanyika kwa taratibu za kisayansi na si kwa matamko! Kuna sayansi ya siasa,nayo ni kuingia bungeni,ndipo upigie huko kelele,lakini kwa njia ya kubweka bweka hakusaidii lolote!
 
Reform zinafanyika kwa taratibu za kisayansi na si kwa matamko! Kuna sayansi ya siasa,nayo ni kuingia bungeni,ndipo upigie huko kelele,lakini kwa njia ya kubweka bweka hakusaidii lolote!
Bungeni unaingia vipi km hao viongozi wenu wanawakata watu ambao wanachama wenzao wanaowakosoa km Mpina na Gwajima??

Huku kwa wapinzani wanabaka uchaguzi na kuua wananchi kwa mgongo wa polisi..!!

Unajielewa kweli au unaipa shida shingo kubeba bichwa lisilo na akili?
 
Hakutakuwa bunge la nchi litakuwa kikao Cha ukoo wa wanaccm.
Ila pia naomba tuikumbuke ile hadithi ya wale viumbe wadogo ambao hurithi mfanano wa matendo yao tangu babu hadi mjukuu.
 
Back
Top Bottom