Hapana, hiki ni kikaragosi tu kisichojielewa cha watawala!.Mwashambwa family Lucas Mwashambwa
Acha dharau zako hapa weweHapana, hiki ni kikaragosi tu kisichojielewa cha watawala!.
Kwa wewe nani kakuzuia kugombea?Hii inaonekana ni kawaida na haki yao ila inajenga transfigure formation kwa familia kuhodhi siasa za nchi na kurithishana madaraka vizazi na vizazi na kuibuka madaraja ya watawala na watawaliwa. Udikteta unachipuka kwa mtindo mpya Tanzania tusikubali ushenzi huu
Naaapa Naaahidi Mbele ya MuuunguHuu ushenzi ndio huchochea mapinduzi ya kijeshi
Nimegundua kumbe hata chama cha siasa kinaweza kutekwa.Niliwahi kulalamika kuhusu state capture mwaka Jana lakini watu hawakunielewa. Sasa haya ndio madhara yake.
Unatiki huku unaogopa kuomba reforms kwenye chama chako..!!Yule aliyepaswa kukemea naye?,(kituko cha Karne) CCM Inastahili kujivua gamba version 2,kanuni zibadilishwe,miiko isimamishwe,uwezekano wa kutengeneza monarch state ni mkubwa mno,kwa madhaifu yaliyopo!
CCM SITUKENI JUU YA HILI,WAKATENI KWA MAKUSUDI KUNUSURU MADHAIFU HAYA.
I LOVE CCM,OCTOBER TUNA ✔️