Familia zitakazojaa Bungeni

Familia zitakazojaa Bungeni

1. Mwinyi ( wanafamilia 4),

2 . Aweso ( wanafamilia 2),

3.
Ni kama kijani walisubiri kwa shauku kubwa Chadema wasiwepo ktk uchaguzi wakijua wataiba kura na kwa watu wao na family zao watakazajaza bungeni,waende kumiliki Kila kitu ktk nchi hii
 
Yule aliyepaswa kukemea naye?,(kituko cha Karne) CCM Inastahili kujivua gamba version 2,kanuni zibadilishwe,miiko isimamishwe,uwezekano wa kutengeneza monarch state ni mkubwa mno,kwa madhaifu yaliyopo!
CCM SITUKENI JUU YA HILI,WAKATENI KWA MAKUSUDI KUNUSURU MADHAIFU HAYA.
I LOVE CCM,OCTOBER TUNA ✔️
 
Back
Top Bottom